Mwanangu ana korodani kubwa sana

Mwanangu ana korodani kubwa sana

braity

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2020
Posts
424
Reaction score
600
Habari wapendwa
Naomba ushauri mwanangu ametimiza wiki tatu tangu kuzaliwa. Kinachonitisha korodani zake ni kubwa kulinganisha na udogo wake. je atakuwa sawa au kuna tatizo? Naomba msaada wa mawazo sijawahi kulea mtoto wa kiume
 
Jamii Forum inatumiwa na watu wasomi mzee. Angalia hata cha ku comment ukiona huna better ukapita kushoto kwan sio kila kitu lazima ukishobokee km huna maslahi nacho. But Naheshimu mawazo yko
Una uhakika jamii forum inatumiwa na watu wasomi?
Humu tegemea mawazo mbadala siyo Kila mtu atoe maoni unayotaka wewe Hadi uone watoa maoni wengine hatujasoma.
Ungekuwa msomi hii mada usingeleta hapa, ungeenda kuona wasomi huko hospital.
 
Jamii Forum inatumiwa na watu wasomi mzee. Angalia hata cha ku comment ukiona huna better ukapita kushoto kwan sio kila kitu lazima ukishobokee km huna maslahi nacho. But Naheshimu mawazo yko
Hacha kutokwa POVU la foma gold , kwani alichojibu kbaya ni kipi?Uzi uandike wewe afu utapangie cha kucoment??kwani ni kosa letu wewe kimrithisha mwanao ulemavu wa pumbu moja?..kuwa na adabu!
 
Wekeza zaidi kujua njia aliyojia mtoto, uwezo wake (Kipawa chake) ukitunze na kukuendeleza usisubiri shule imkate mabawa. Ulicho jifunza kwenye maisha ukiwa na 20+ hakikisha anajua mapema. Mrithishe mifumo ya kiuchumi let him be a Big man. Fanya awe rafiki Yako mkubwa zaidi ya wote.
 
Wekeza zaidi kujua njia aliyojia mtoto, uwezo wake (Kipawa chake) ukitunze na kukuendeleza usisubiri shule imkate mabawa. Ulicho jifunza kwenye maisha ukiwa na 20+ hakikisha anajua mapema. Mrithishe mifumo ya kiuchumi let him be a Big man. Fanya awe rafiki Yako mkubwa zaidi ya

Wekeza zaidi kujua njia aliyojia mtoto, uwezo wake (Kipawa chake) ukitunze na kukuendeleza usisubiri shule imkate mabawa. Ulicho jifunza kwenye maisha ukiwa na 20+ hakikisha anajua mapema. Mrithishe mifumo ya kiuchumi let him be a Big man. Fanya awe rafiki Yako mkubwa zaidi ya wote.
Nukuu zilizojitosheleza Chief, pamoja sana.
 
Inaweza ikawa ni "hydrocele" au "inguinal hernia", maneno yasikutishe sana yana maana mfuko wa pumbu upo wazi kwa upande wa ndani hivyo unajaa majimaji ya mwili (google kwa maelezo zaidi naona uvivu kuandika kirefu)...

Huwa ni kitu common kwa watoto na kinapotea baada ya muda, hata hivyo nakushauri ufike hospitali...
 
Inaweza ikawa ni "hydrocele" au "inguinal hernia", maneno yasikutishe sana yana maana mfuko wa pumbu upo wazi kwa upande wa ndani hivyo unajaa majimaji ya mwili (google kwa maelezo zaidi naona uvivu kuandika kirefu)...

Huwa ni kitu common kwa watoto na kinapotea baada ya muda, hata hivyo nakushauri ufike hospitali...
Ok thanks
 
Back
Top Bottom