Waziri wa nishati na madini profesa Sospiter muhongo amesema Kitendo cha tanesko kuwalipisha wananchi garama za nguzo ni uonevu.
Profesa amesema
garama za nguzo zinapaswa kubebwa na tanesko,
mimi kama raia nimefurahishwa sana na muhongo kama watatekeleza mpango huo, kwa kweli watu wengi wa vijijini wanakosa nishati ya umeme kutokana na sharti la kulipia nguzo ambayo ni tsh milioni moja,
Tunaitaka serikali kubeba suala la nguzo wananchi hawawezi kulipia nguzo.
Nampongeza sana mh waziri kama ulivyotangaza bungeni kwamba januari utaratibu wa kutolipia nguzo utaanza rasmi.
Sisi walala hoi wa huku vijijini tunakutakia maisha marefu, kama utatusaidia.
Source,ITV HABARI
Profesa amesema
garama za nguzo zinapaswa kubebwa na tanesko,
mimi kama raia nimefurahishwa sana na muhongo kama watatekeleza mpango huo, kwa kweli watu wengi wa vijijini wanakosa nishati ya umeme kutokana na sharti la kulipia nguzo ambayo ni tsh milioni moja,
Tunaitaka serikali kubeba suala la nguzo wananchi hawawezi kulipia nguzo.
Nampongeza sana mh waziri kama ulivyotangaza bungeni kwamba januari utaratibu wa kutolipia nguzo utaanza rasmi.
Sisi walala hoi wa huku vijijini tunakutakia maisha marefu, kama utatusaidia.
Source,ITV HABARI