Mwananchi Communication Wachapa gazeti zao Uganda.

Mwananchi Communication Wachapa gazeti zao Uganda.

adakiss23

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
4,896
Reaction score
5,259
Kuna uzi uliletwa na mdau m1 kutoka Bukoba akieleza kuwa alipata gazeti la mwanaspoti la siku ya jumamosi alfajiri tofauti na kawaida kupata gazeti mida mibovu. Akajaribu kujiuliza mwananchi comm wameweza vipi kulifikisha gazeti mapema mno kuliko makampuni mengine.
Uchunguzi wangu nmebaini mwananchi wameanza kuchapa gazeti zao nchini uganda na kuzisambaza kanda yote ya ziwa lengo ni kupunguza gharama pamoja na kuwahi soko. Hii hufanyika siku za jumamosi na jumanne.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wameshindwa kuchapisha mwanza mpaka waende uganda- Beautifully Tanzania.
 
Kuna uzi uliletwa na mdau m1 kutoka Bukoba akieleza kuwa alipata gazeti la mwanaspoti la siku ya jumamosi alfajiri tofauti na kawaida kupata gazeti mida mibovu. Akajaribu kujiuliza mwananchi comm wameweza vipi kulifikisha gazeti mapema mno kuliko makampuni mengine.
Uchunguzi wangu nmebaini mwananchi wameanza kuchapa gazeti zao nchini uganda na kuzisambaza kanda yote ya ziwa lengo ni kupunguza gharama pamoja na kuwahi soko. Hii hufanyika siku za jumamosi na jumanne.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ni ubunifu wa jinsi ya kuwafikia wateja wao. Hongera yao.
 
wakenya fanyeni maubunifu...acha sisi tuzidi kubuni manjia yakuandamana..kesho utaskia magogoni wanaandamana,boss wao wananchi hawampendi.
 
Dunia ni kama kijiji haka ka-usemi nakapendaga sana!......... mpaka hapo walichelewa ila HEKO mwananchi!
 
Ni hatari sana kwa usalama wa nchi kuachia media za nje kuchapicha magazeti na kuyaingiza nchini,ile media watch haifanyi kazi?ni hatari sana sana....badala kuzia kabla gazeti kabla halijatoka,mtaanza kununua magazeti yoote mezani!
 
Wameshindwa kuchapisha mwanza mpaka waende uganda- Beautifully Tanzania.

May be hakuna kiwanda cha kuchapia magazeti ya 'viwango' vya Mwananchi, kwa Mwanza. Kwa Dar magazeti mengi yanachapwa kwenye kiwanda chao pale Tabata relini
 
mmmmwananchi wapo mbali sana kimtazamo na juzi juai Raisi mwai kibaki aliwasihi wakenya wake mtazamo wa kiuchumi. sisi bado tunamtazamo wa kumtukana myahudi na mmarekani katika magazeti. wataalamu wa kumtukana myahudi na mmarekani TZ inajitioshereza.
 
kwani mwanza pana shida gani mpaka waende kuchapisha uganda,kwakweli nazidi kuungana mkono na wanaosema Tanzania yenyewe yatosha kuwa miongoni mwa maajabu 7 ya dunia.
 
kwani mwanza pana shida gani mpaka waende kuchapisha uganda,kwakweli nazidi kuungana mkono na wanaosema Tanzania yenyewe yatosha kuwa miongoni mwa maajabu 7 ya dunia.

kwa utafiti wangu niliowai kufanya na kuona kwa macho uganda cost zipo chini sana kwenye kuchapisha,na nilishawai kuchapisha magazine uko,hivo usikurupuke kusema ni maajabu ya dunia,si wajinga hao
 
Ni hatari sana kwa usalama wa nchi kuachia media za nje kuchapicha magazeti na kuyaingiza nchini,ile media watch haifanyi kazi?ni hatari sana sana....badala kuzia kabla gazeti kabla halijatoka,mtaanza kununua magazeti yoote mezani!

Fanya utafiti usiongelee kitu usichoelewa, hakuna hatari yeyote ile nenda ulaya na marekani angalia umiliki wa vyombo vikubwa vya habari uko namna gani na pia uchapishaji wake unafanyika katika sera ipi, kuna matajiri wachache ambao ndio wanamiliki nusu ya vyombo vyote vya habari ulaya na marekani, hii ya Mwananchi sio tatizo hata kidogo
 
Back
Top Bottom