binti madam
Member
- Jul 1, 2017
- 32
- 10
Ana kipaji gani cha ajabu?, mbona huo wimbo ni kama copy kabisa ya hii
Mhhh mbona mi sijaona copy hapo duh
Kwa kweli nimekataa labda waje watalaam wanaojua muzuki cause mimi naona yuko vizuri siyo copyBit ni almost ile ile, hata vocal