TANZIA Mwanamuziki Regis Touba afariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Regis Touba afariki dunia

bhachu

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
8,734
Reaction score
10,345
Ni kwa masikitiko makubwa kwa wana tasnia wa miziki ya Kongo, mwanamuziki REGIS TOUBA hatunae tena, amefariki mapema leo akiwa kwa Congo Brazzavile.

Atakumbukwa kama sehemu ya Muasisi wa kundi la EXTRA MUSICA

Ameshiriki katika kutunga nyimbo zenye mafanikio akiwa katika kundi hili, na alifahamika zaidi kama kipenzi cha warembo na "Best Dancer" wa kundi hili

Alitoa hit song kadhaa kama "Ambiance chocolate" akiwa na kundi la Extra Musica ZI Internataional

Bwana Ametoa, na Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe🙏🙏🙏

Screenshot_20250516_113745_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom