Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda

Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda

Dimwit. I am asking you..have you read the captured messages from this guy communicating with the leader of RNC? Au nazo unataka kusema kagame amezitengeneza. What do you have to say now? Boooy! Still defending the suspect?

of course ni za kutengeneza, why else would they not post the conversation online, badala yake eti wamesikiliza kwa niaba yetu halafu wanapost text conversation vipande vipande kwenye magazeti yenu. C'mon, polisi ilitakiwa ku-upload in full ili watu tusikilize wenyewe hayo mazungumzo na kuamua if they are guilty or not. Tuchambue wenyewe kama hivyo ndivyo alivyomaanisha. Tunathibitishaje for e.g kama hayo maneno kweli ni ya kwake? kama ni yeye ndie aliyezungumza etc, Have you heard the conversation au umesoma kwenye chimpreport?
Only you would trust a government that kidnaps suspects and torture them for weeks before parading them in public.
 
Mwaka huu wapinzani wa rwanda povu litawatoka sana na bado,its matter of time,mtaokotwa wote.

1. 84%+ ya wanyarwanda ni wahutu,. majority of which hawamtaki kagame

2. watutsi original wa Rwanda kama huyu kizito mihigo ambao ni real survivors and victims of 1994, ambao initially walimsupport, nao wameshamchoka kagame.

3. kundi lingine lililokuwa linamsupport kagame ni watutsi waliokulia uhamishoni kisha wakarudi Rwanda wakipotoshwa na propaganda za kagame za kujenga nchi, umoja etc kama kina prof lwakabamba. Hili kundi nalo linapungua kwa kasi sana, many of these tutsis most of them highly educated, wealthy etc, wanakimbia nchi kwa sababu washashtukia kuwa wameingia choo cha kike. kama hutaki nenda rich neighbourhoods and see how much real estate prices have fallen, rich tutsis are leaving!

4. Mliobaki kumsupport kagame now ni nyinyi watutsi mnaokaa nje ya Rwanda ambao most of you hamjawahi hata kufika Rwanda, hamjui mtu yoyote Rwanda, hamna ndugu, etc, mnaopotoshwa na propaganda za newstime, mushikiwabo and co na watu kama hao.

5. kagame sasa anategemea vyombo vya jeshi, polisi, intelligence baas! Na hapa napo ana tatizo kubwa sana. Ili upate loyalty ya hili kundi ni lazima uwalipe, na ndio maana ana hasira sana na sisi, kwa sababu tumeharibu ile mirija ya fedha kutoka congo kwa kuwapiga M23. kwa hiyo fedha ya kuwalipa hawa jamaa ili wamtetee inapungua, ndio maana anabuni miradi ya ajabu ajabu ya all sorts of "funds" ambazo wananchi wanatakiwa kuchangia ili aendelee kununua jeshi. Lakini fedha hizi zina mwisho wake, and pretty soon zitaisha, jeshi na polisi watajitambua na ndio watakaompindua.
 
lets agree to disagree. RNC ni watu walioweka bayana malengo yao na kila mwenye akili timamu anajua kuwa hawa ni wanasiasa na si materrorists.

Hahaha nimara yangu ya kwanza kuona jmali akiwakubali watusi kumbuka RNC is tutsi extremist party,kumbuka moderate hutu and tutsi in Rwanda hawawezi kubali extremist from both race kubomoa walivyo jenga kwa miaka 20,msahau kabisa rwanda itabaki kua nchi ya wanyarwanda wapenda amani,wote wanaotegemea rwanda kusambaratika nawapa pole.
 
my democratic government will take him to court according to the law, rejea kesi ya wilfred lwakatare who is out on bail now! na video yake iko mtandaoni for everyone to see. Then compare with kidnapping someone and hiding him for a whole week, halafu kumparade in public eti for "confession", lakini msiweke hizo conversation clips tusikie wenyewe what exactly he said.

Just to show how dimwitish you are you cannot notice that what has been put as the conversation between kizito and the president of RNC is NOT audio but messages on whatsupp and other platforms of that nature. DIMWIT
 
of course ni za kutengeneza, why else would they not post the conversation online, badala yake eti wamesikiliza kwa niaba yetu halafu wanapost text conversation vipande vipande kwenye magazeti yenu. C'mon, polisi ilitakiwa ku-upload in full ili watu tusikilize wenyewe hayo mazungumzo na kuamua if they are guilty or not. Tuchambue wenyewe kama hivyo ndivyo alivyomaanisha. Tunathibitishaje for e.g kama hayo maneno kweli ni ya kwake? kama ni yeye ndie aliyezungumza etc, Have you heard the conversation au umesoma kwenye chimpreport?
Only you would trust a government that kidnaps suspects and torture them for weeks before parading them in public.

Wewe kama nani! Just another interahamwe on the the internet! Just a grain of sand on the beach. Pleease usijipe umaarufu of which you don't deserve. Ok Dimwit
 
of course ni za kutengeneza, why else would they not post the conversation online, badala yake eti wamesikiliza kwa niaba yetu halafu wanapost text conversation vipande vipande kwenye magazeti yenu. C'mon, polisi ilitakiwa ku-upload in full ili watu tusikilize wenyewe hayo mazungumzo na kuamua if they are guilty or not. Tuchambue wenyewe kama hivyo ndivyo alivyomaanisha. Tunathibitishaje for e.g kama hayo maneno kweli ni ya kwake? kama ni yeye ndie aliyezungumza etc, Have you heard the conversation au umesoma kwenye chimpreport?
Only you would trust a government that kidnaps suspects and torture them for weeks before parading them in public.

Does the suspect look like he was tortured to you au ni makengeza yako. Eeeh Dimwit
 
1. 84%+ ya wanyarwanda ni wahutu,. majority of which hawamtaki kagame

2. watutsi original wa Rwanda kama huyu kizito mihigo ambao ni real survivors and victims of 1994, ambao initially walimsupport, nao wameshamchoka kagame.

3. kundi lingine lililokuwa linamsupport kagame ni watutsi waliokulia uhamishoni kisha wakarudi Rwanda wakipotoshwa na propaganda za kagame za kujenga nchi, umoja etc kama kina prof lwakabamba. Hili kundi nalo linapungua kwa kasi sana, many of these tutsis most of them highly educated, wealthy etc, wanakimbia nchi kwa sababu washashtukia kuwa wameingia choo cha kike. kama hutaki nenda rich neighbourhoods and see how much real estate prices have fallen, rich tutsis are leaving!

4. Mliobaki kumsupport kagame now ni nyinyi watutsi mnaokaa nje ya Rwanda ambao most of you hamjawahi hata kufika Rwanda, hamjui mtu yoyote Rwanda, hamna ndugu, etc, mnaopotoshwa na propaganda za newstime, mushikiwabo and co na watu kama hao.

5. kagame sasa anategemea vyombo vya jeshi, polisi, intelligence baas! Na hapa napo ana tatizo kubwa sana. Ili upate loyalty ya hili kundi ni lazima uwalipe, na ndio maana ana hasira sana na sisi, kwa sababu tumeharibu ile mirija ya fedha kutoka congo kwa kuwapiga M23. kwa hiyo fedha ya kuwalipa hawa jamaa ili wamtetee inapungua, ndio maana anabuni miradi ya ajabu ajabu ya all sorts of "funds" ambazo wananchi wanatakiwa kuchangia ili aendelee kununua jeshi. Lakini fedha hizi zina mwisho wake, and pretty soon zitaisha, jeshi na polisi watajitambua na ndio watakaompindua.

Naona umesha plan bado ku execute hiyo plan yako. Karibu ujaribu
 
Jamani poleni wanyarwanda. Aise hii hatari wimbo tu jamaa anapotezwa. Kumbe bora kikwete wetu tunajitukania weee. Hana noma na mtu. Tz raha kweli.
 
Jamani poleni wanyarwanda. Aise hii hatari wimbo tu jamaa anapotezwa. Kumbe bora kikwete wetu tunajitukania weee. Hana noma na mtu. Tz raha kweli.

watu wengine bwana wanaona wanayotakakuona ,humu wametia maongezi yaliyofanywa na huyo muimbaji na viongozi wa FDLR &RNC halafu wewe umeona eti ni wimbo peke yake! wimbo ni sehemu ya kampeni yake ya kuupotosha ukweli kuhusu genocide,kuwa yeye ni miongoni mwa manusuru wa mauaji ya kimbali haimpi kinga yoyote ya kuwajibishwa,tena kushirikiana na wauaji ni kitu cha ajabu kwani hawa ni watu waliomuulia familia yake,tatizo la huyu jamaa alipenda pesa na madaraka hiyo ndiyo weekness yake,na kumbuka yuda alimuuza yesu kwa pesa chache tu,acheni awajibishwe tena liwe somo kwa watu wanaochezea amani.
 
murutongore i hate the way you call your fellow countryman jMali a dimwit.why addressing your opinions to a person whom you consider a dimwit?.i think you're dimwittedly showcasing your real dimwitted behaviour.i rest my case.OVER.
 
Last edited by a moderator:
murutongore i hate the way you call your fellow countryman jMali a dimwit.why addressing your opinions to a person whom you consider a dimwit?.i think you're dimwittedly showcasing your real dimwitted behaviour.i rest my case.OVER.

mkuu huyu jamaa ni wa kuonea huruma, ukiacha matusi yake ya dimwit hana hoja yoyote ya msingi.
 
Does the suspect look like he was tortured to you au ni makengeza yako. Eeeh Dimwit

us "dimwits" know there is something called psychological torture, lakini wewe "intelligent" hujui.
 
Wewe kama nani! Just another interahamwe on the the internet! Just a grain of sand on the beach. Pleease usijipe umaarufu of which you don't deserve. Ok Dimwit

as long as you feel the need to reply to a dimwit....
 
Just to show how dimwitish you are you cannot notice that what has been put as the conversation between kizito and the president of RNC is NOT audio but messages on whatsupp and other platforms of that nature. DIMWIT

whatever nature, any evidence should be put ad verbatim in public, otherwise they should take their mashtaka to court, not to tailor the evidence ili ieleweke kama wanavyotaka wao. kwani kuna tabu gani ku-upload in full? how do we know in what context kizito was talking
 
Hahaha nimara yangu ya kwanza kuona jmali akiwakubali watusi kumbuka RNC is tutsi extremist party,kumbuka moderate hutu and tutsi in Rwanda hawawezi kubali extremist from both race kubomoa walivyo jenga kwa miaka 20,msahau kabisa rwanda itabaki kua nchi ya wanyarwanda wapenda amani,wote wanaotegemea rwanda kusambaratika nawapa pole.

Ni mara yangu ya kwanza pia kuona mukamasimba unakubali kuwa kuna extremists from both tribes (btw, race ni rangi sio kabila, both hutu and tutsi are black), a very big development from your usual view of angelic tutsis! you admission inathibitisha kuwa kizito hana hatia yoyote kwa kuacknowledge mauaji ya wahutu by these extremists ambao umeshakubali wapo.
 
Ukiwa Rwanda ogopa sana hata kupishana kauli na polisi hata mkiwa bar. unaweza kuambiwa unahatarisha usalama wa taifa na ukaambiwa wewe ni genocider, mhaini.
 
as long as you feel the need to reply to a dimwit....

I can afford to reply to a dimwit, but my government however doesn't have the time to even know that you exist. Why don't you be like your "coalition of dimwit" member rushasha and concede
 
kuna nchi ngumu kuishi jamani.wake up rwandese the country belongs to all not a single person
 
Back
Top Bottom