jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Dimwit. I am asking you..have you read the captured messages from this guy communicating with the leader of RNC? Au nazo unataka kusema kagame amezitengeneza. What do you have to say now? Boooy! Still defending the suspect?
of course ni za kutengeneza, why else would they not post the conversation online, badala yake eti wamesikiliza kwa niaba yetu halafu wanapost text conversation vipande vipande kwenye magazeti yenu. C'mon, polisi ilitakiwa ku-upload in full ili watu tusikilize wenyewe hayo mazungumzo na kuamua if they are guilty or not. Tuchambue wenyewe kama hivyo ndivyo alivyomaanisha. Tunathibitishaje for e.g kama hayo maneno kweli ni ya kwake? kama ni yeye ndie aliyezungumza etc, Have you heard the conversation au umesoma kwenye chimpreport?
Only you would trust a government that kidnaps suspects and torture them for weeks before parading them in public.