Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda

Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda

Labda FACT za interahamwe,and then eti Daktari wetu wa muhimbili?keep fooling diotss,uninformed and ignoraaants,by any definition you are not Tanzanian..go weep

1. Okay, he was not kidnapped, lets say he just went missing for a week, and then just turned up from the blue at a press conference in handcuffs.
 
Track released more than 3 yrs ago hiyo connection yako doesn't make any sense,sitaki kuwa judgemental hapa maana sina details/facts,ila sioni cha ajabu na arrest kama hizo hata hapa states lots of people wanakuwa arrested daily na terrorism charges kama hizo,at least yuko mikononi kwa polisi na will be given his day/trial in court/defending lawyer kuliko kuokotwa dead on the street,ila kwako for some reasons this is good news

Hapo ndipo mnapodhihirisha kuwa mko kipropaganda zaidi, Obviously umemcopy paste ndugu commanche na huna information of your own, i am talking about Igisobanuro Cy’urupfu, released this year! not any other track.
very funny how you "Rwandans" conveniently mix up things!

[video=youtube_share;S2n8hTQl2lI]http://youtu.be/S2n8hTQl2lI[/video]
 
jMali,

Wimbo wa amateka umetoka miaka mitatu iliyopita. Sasa kama Rais Kagame alikuwa anataka kumwinda angeshamkamata miaka hiyo. Unapotegemea FDLR na RNC wakubali kuhusika na hii foiled plot unakuwa si objective. Pia kinachokushangaza kuhusu RNC na FDLR kushirikiana ni nini hasa? Hili tatizo kila siku nasema hapa is bigger than the tutsi/hutu divide. Being tutsi or hutu does not guarantee allegiance to either side. You know better than you like people to believe here. Punguza propaganda. Suala la Kizito na saboteur genocidaire conspirators wenzi wake litaletewa ushahidi mahakamani, tatizo liko wapi kwani? Rwanda National Police wako makini sana. Wameshakamilisha uchunguzi na kuwakabidhi watuhumiwa kwa Prosecutor. They will be tried in a court of law.

Do you really believe that there is rule of law in Rwanda? Or rule of Paul Kagame. Mahakama ya Rwanda inaweza kutoa uamuzi ambao Rais Kagame hatakubaliana nao? I doubt it.

Lakini si vizuri kurukia kwenye hitimisho kabla ya kusikia ukweli kuhusu kukamatwa kwake. Sidhani kama ni haki kwa mtu mwenye maoni tofauti ya ya Kagame kuwa mpinzani wa Kagame au anapinga serikali ya Kagame.

Ukweli ni kuwa Kagame amefanya kazi nzuri Rwanda na matokeo yake yanaonekana, lakini ni lazima tuwe wakweli pia kuwa yeye si malaika, ni binadamu ana upungufu wake. Kuutaja upungufu wake haina maana ni kuipinga serikali yake au kuwatetea Interhamwe.
 
da siasa za chi hii ya magharibi kwetu huwa zinanichekesha aisee
 
mhhh mbona kuna watu wanatoa data as if wako Rwanda?
 
1. Where else do suspects get kidnapped and hidden at secret locations for a week and then wanaibuliwa to "give confessions to the media" before being taken to court? only in rwanda! Suspects wote wa design hii huwa wanatishiwa maisha ya familia zao popote walipo duniani, hata karegeya na nyamwasa ndugu zao wamenyang'anywa passports za rwanda. Hiyo confession ni matokeo ya blackmail tu hamna kitu hapo. The guy is doing it for his family, nothing else.

2. Kizito mihigo ni mmoja wa survivors wa mauaji ya interahamwe 1994, he is a tutsi!, a real tutsi born and bred in rwanda, not tutsis from tabata and tegeta like the ones in jf, how possible is it eti, leo hii ashirikiane na fdlr? Wale wale supposedly "tutsi killers" ambao walimuulia ndugu zake, tena for money and cheo?

3. Tuhuma za mashambulizi ya grenades kigali hazijawahi kuthibitishwa kuwa wahusika ni rnc, rnc wamekataa, fdlr wamekataa, hata hiyo taarifa yako hapo juu inasema hivi "both fdlr and rnc have been linked to grenade attacks in the country." linked by whom? Since when kundi la ukombozi likatae harakati zake zenyewe? Makundi yote haya ni makundi yanayoundwa na wanajeshi wa ukweli, hakuna logic yoyote ya wataalamu wa strategy za kijeshi kama hawa akina nyamwasa kupindua nchi kupitia vibomu viwili vya mkono sokoni, to what end? Hivi vibomu ni sinema ya kagame to frame these people and nothing else. Si rnc wala fdlr inayoweza kufanya mashambulizi ya kitoto kama hayo.
Ulipue jengo halafu iweje? What purpose does it serve, how does that contribute in the overall scheme of overthrowing the gov?

with due respect to rwandese,,i don't believe much in genocide story..so far i do term it " rwandese civil war" .a fellow citizen killing a fellow...,the rest will be told by rwandese themselves..
 
with due respect to rwandese,,i don't believe much in genocide story..so far i do term it " rwandese civil war" .a fellow citizen killing a fellow...,the rest will be told by rwandese themselves..

you are very right, in fact the whole world calls it Rwandese genocide (neutral). Dictator kagame decided to change it in 2004 to "genocide against tutsis" and then created a set of laws to put in jail whoever questions his version.
 
Hapo ndipo mnapodhihirisha kuwa mko kipropaganda zaidi, Obviously umemcopy paste ndugu commanche na huna information of your own, i am talking about Igisobanuro Cy'urupfu, released this year! not any other track.
very funny how you "Rwandans" conveniently mix up things!

jMali,

Hivi huoni kuwa huu wimbo ni wa kufunua machungu na uchonganishi. Kizito is a selfish puppet who uses his fame to corrupt the Rwandan youth with his revisionist vitriol. Ni mnafiki anayejifanya anampenda Mungu kumbe anatumika na RNC na FDLR kuleta machafuko. Ameshika Rosary utafikiri mcha-Mungu kumbe gaidi. As a Catholic I hold disdain for hypocrites like he. Kesi iko kwa mwendesha mashitaka. Kizito na wenzi wake watafikishwa mbele ya haki. Inasikitisha kuona kijana aliyefaidi matunda ya uongozi madhubuti wa Rais Kagame kuamua kusaliti na kushirikiana na wauaji ili tu apewe madaraka. Kwa yeyote anayefikiri FDLR na RNC wataunda serikali nawashauri wasahau tu. Haya makundi yanaundwa na wauaji wenye mirengo mikali kinzani ambayo yataitumbukiza Rwanda kwenye vita vikali visivyokuwa na mwisho.
 
jMali,

Hivi huoni kuwa huu wimbo ni wa kufunua machungu na uchonganishi. Kizito is a selfish puppet who uses his fame to corrupt the Rwandan youth with his revisionist vitriol. Ni mnafiki anayejifanya anampenda Mungu kumbe anatumika na RNC na FDLR kuleta machafuko. Ameshika Rosary utafikiri mcha-Mungu kumbe gaidi. As a Catholic I hold disdain for hypocrites like he. Kesi iko kwa mwendesha mashitaka. Kizito na wenzi wake watafikishwa mbele ya haki. Inasikitisha kuona kijana aliyefaidi matunda ya uongozi madhubuti wa Rais Kagame kuamua kusaliti na kushirikiana na wauaji ili tu apewe madaraka. Kwa yeyote anayefikiri FDLR na RNC wataunda serikali nawashauri wasahau tu. Haya makundi yanaundwa na wauaji wenye mirengo mikali kinzani ambayo yataitumbukiza Rwanda kwenye vita vikali visivyokuwa na mwisho.

1. Bahati mbaya kinyarwanda changu cha kuombea maji tu, vinginevyo ningetafsiri ubeti hadi ubeti coz i'm quite sure hujui ameimba nini, you are just copy-pasting the government's position. kama wimbo ungekuwa mbaya na unaamsha chuki umekuwaje maarufu NDANI YA RWANDA?, umesababishaje kagame aseme "i m not a musician trying to please everyone..." in direct reference to the "revision" charges of the song to "please the hutus"? huyu msanii ni mtutsi aliyepoteza familia yake 94, unawezaje kusema eti anaamsha machungu na analeta uchonganishi kwa vile ame-acknowledge kuwa na wahutu nao waliuawa? Huyu bwana mdogo ni mtu wa mungu, hawezi kuvumilia dhambi ya kila mwaka kuimba nyimbo za kuomboleza watutsi peke yao, wakati akijua kuwa waliouawa wengi ni wahutu, na ukweli kuwa wengi wanaoadhimisha wiki ya genocide ni watutsi waliorudi baada ya kagame kuteka nchi ambao hawakufiwa hata na hata kuku let alone ndugu yoyote, badala yake wanageuza watutsi waliofiwa kiukweli kama yeye, mtaji wa kupata sympathy kwenye international media, ili kuhalalisha mapinduzi haramu ya kagame mwaka 94.

Kosa lake ni kusahau tu kuwa ku-acknowledge kuwa wahutu nao walikufa, kutaibua swali la nani aliyewaua? kama ambavyo swali la victoire ingabire "when will our dead ones be remembered" linaibua swali lingine la "how many are they" ambalo jibu lake litageuza theory ya "genocide against tutsis" kuwa "genocide against hutus".



2. Its very funny huo ubaya wake haukuonekana toka miaka ya 2000 alipokuwa tayari maarufu, wakati serikali inampa scholarship 2003 kwenda belgium, haukuonekana aliposhauriwa na jeanette kagame kurudi Rwanda 2010, mpaka mwaka huu coincidentally baada ya kutoa huu wimbo? Mbona kila mtu anayekuwa na tofauti na uongozi wa RPF suddenly anageuka terrorist, genocidaire, divisionist etc in a flash! I mean even osama bin laden took some time to transform from a rich boy into a terrorist, its a process. you don't just wake up one day and switched it on like electricity. Kizigo survived the "genocide against tutsi" himself, how do you accuse him of collaborating with "negative" forces that killed his family, eti just for a political position, which has term limits anyway, by simply talking to RNC iliyokuwa formed barely 2 years ago? This is the same BS said about karegeya, same is said about Nyamwasa, rudasingwa, himbara, all of which fought in 94 alongside kagame.

Sitashangaa one of these days kusikia louis mushikiwabo naye akigeuzwa terrorist, genocider blah blah when she falls out of favour...if this sounds funny to you now, remember that it would have sounded even funnier if someone would have told you 5 years ago, that today karegeya, rudasingwa, nyamwasa etc, would be accused of the same charges.

3. RNC and FDLR are the only real opposition. Kwa vile nina wasiwasi na ufahamu wako juu ya rwandan politics, nikufahamishe kuwa almost all opposition actually ni alliances created by RPF. Yaani chama cha upinzani kinashirikiana na RPF kuweka mgombea mmoja, what type of opposition is this? majority ya majimbo ya upinzani yanashikiliwa na hizi alliances.
Hii ni kwa sababu internally Rwanda hakuna upinzani, anzisha chama uone cha mtema kuni. Hivyo kwa kuona aibu kuwa Rwanda itajulikana kuwa ni dictatorship, inabidi RPF yenyewe ndio itengeneze upinzani, halafu ishindane na yenyewe i.e mgombea wa RPF vs mgombea wa umoja wa RPF na chama cha upinzani. Vinginevyo hakuna upinzani, vyama vyote huru nje ya hivi vya kutunga, lazima vipewe kesi, viongozi wafungwe, wauawe etc.
Uchaguzi uliopita kulikuwa na jumla vyama 9 including RPF, vyama vinavyounda alliance ni 7, vyama nje ya alliance ni viwili, na hivyo viwili uchaguzi wa 2003 vilikuwa kwenye alliance vikimsapoti kagame kama hawa wenzao, so they are not entirely free even now, wamepewa tu vyeo kuleta impression ya democracy.

Hata sasa hivi wewe ukianzisha chama cha siasa nje bila uhusiano na RPF nakuhakikishia ndani ya wiki moja tu utakuwa tayari na kesi za genocide, divisionism, revisionism, terrorism, kushirikiana na FDLR na RNC blah blah....Hiyo ndio situation.

Tuhuma zote dhidi ya RNC na FDLR (political wing), ni za kupika wala hazijawahi kuwa proven in any competent court. Wewe labda uniambie which court in Rwanda proved kwamba mabomu sokoni ni kazi ya FDLR na RNC? hizi zote ni tuhuma za prosecutor tu and nothing else.

Hata huo ugaidi/uharamu wa RNC ni by extension. RNC haina hata mazungumzo wala uhusiano na FDLR, kama yapo yathibitishe, what happened ni kwamba RNC walisema kuwa watashirikiana na vikundi vyote even armed ones, to find a peaceful solution (rejea ile barua ya karegeya) in Rwanda.
Now, since FDLR is an armed organization, then by extension ndio sasa RNC inaitwa a terrorist group by kagame's government. This is pure stupidity that can only be explained in a dictatorship. FDLR leaders wako mpaka kwenye list za UN za kutosafiri, if RNC is collaborating with FDLR do you think its leaders would be living in U.S of all places
as political exiles given the relationship between U.S and Rwanda?



This is possible only because the definition of a terrorist in rwanda is very unique to the rest of the world! create a poll anywhere kuchagua suggestion ya peace talks with FDLR ya kikwete au reaction ya kagame to the advice, halafu uone nani atashinda, this is because what FDLR is in kagames eyes is different from everybody else.
 
1. Bahati mbaya kinyarwanda changu cha kuombea maji tu, vinginevyo ningetafsiri ubeti hadi ubeti coz i'm quite sure hujui ameimba nini, you are just copy-pasting the government's position. kama wimbo ungekuwa mbaya na unaamsha chuki umekuwaje maarufu NDANI YA RWANDA?, umesababishaje kagame aseme "i m not a musician trying to please everyone..." in direct reference to the "revision" charges of the song to "please the hutus"? huyu msanii ni mtutsi aliyepoteza familia yake 94, unawezaje kusema eti anaamsha machungu na analeta uchonganishi kwa vile ame-acknowledge kuwa na wahutu nao waliuawa? Huyu bwana mdogo ni mtu wa mungu, hawezi kuvumilia dhambi ya kila mwaka kuimba nyimbo za kuomboleza watutsi peke yao, wakati akijua kuwa waliouawa wengi ni wahutu, na ukweli kuwa wengi wanaoadhimisha wiki ya genocide ni watutsi waliorudi baada ya kagame kuteka nchi ambao hawakufiwa hata na hata kuku let alone ndugu yoyote, badala yake wanageuza watutsi waliofiwa kiukweli kama yeye, mtaji wa kupata sympathy kwenye international media, ili kuhalalisha mapinduzi haramu ya kagame mwaka 94.

Kosa lake ni kusahau tu kuwa ku-acknowledge kuwa wahutu nao walikufa, kutaibua swali la nani aliyewaua? kama ambavyo swali la victoire ingabire "when will our dead ones be remembered" linaibua swali lingine la "how many are they" ambalo jibu lake litageuza theory ya "genocide against tutsis" kuwa "genocide against hutus".



2. Its very funny huo ubaya wake haukuonekana toka miaka ya 2000 alipokuwa tayari maarufu, wakati serikali inampa scholarship 2003 kwenda belgium, haukuonekana aliposhauriwa na jeanette kagame kurudi Rwanda 2010, mpaka mwaka huu coincidentally baada ya kutoa huu wimbo? Mbona kila mtu anayekuwa na tofauti na uongozi wa RPF suddenly anageuka terrorist, genocidaire, divisionist etc in a flash! I mean even osama bin laden took some time to transform from a rich boy into a terrorist, its a process. you don't just wake up one day and switched it on like electricity. Kizigo survived the "genocide against tutsi" himself, how do you accuse him of collaborating with "negative" forces that killed his family, eti just for a political position, which has term limits anyway, by simply talking to RNC iliyokuwa formed barely 2 years ago? This is the same BS said about karegeya, same is said about Nyamwasa, rudasingwa, himbara, all of which fought in 94 alongside kagame.

Sitashangaa one of these days kusikia louis mushikiwabo naye akigeuzwa terrorist, genocider blah blah when she falls out of favour...if this sounds funny to you now, remember that it would have sounded even funnier if someone would have told you 5 years ago, that today karegeya, rudasingwa, nyamwasa etc, would be accused of the same charges.

3. RNC and FDLR are the only real opposition. Kwa vile nina wasiwasi na ufahamu wako juu ya rwandan politics, nikufahamishe kuwa almost all opposition actually ni alliances created by RPF. Yaani chama cha upinzani kinashirikiana na RPF kuweka mgombea mmoja, what type of opposition is this? majority ya majimbo ya upinzani yanashikiliwa na hizi alliances.
Hii ni kwa sababu internally Rwanda hakuna upinzani, anzisha chama uone cha mtema kuni. Hivyo kwa kuona aibu kuwa Rwanda itajulikana kuwa ni dictatorship, inabidi RPF yenyewe ndio itengeneze upinzani, halafu ishindane na yenyewe i.e mgombea wa RPF vs mgombea wa umoja wa RPF na chama cha upinzani. Vinginevyo hakuna upinzani, vyama vyote huru nje ya hivi vya kutunga, lazima vipewe kesi, viongozi wafungwe, wauawe etc.
Uchaguzi uliopita kulikuwa na jumla vyama 9 including RPF, vyama vinavyounda alliance ni 7, vyama nje ya alliance ni viwili, na hivyo viwili uchaguzi wa 2003 vilikuwa kwenye alliance vikimsapoti kagame kama hawa wenzao, so they are not entirely free even now, wamepewa tu vyeo kuleta impression ya democracy.

Hata sasa hivi wewe ukianzisha chama cha siasa nje bila uhusiano na RPF nakuhakikishia ndani ya wiki moja tu utakuwa tayari na kesi za genocide, divisionism, revisionism, terrorism, kushirikiana na FDLR na RNC blah blah....Hiyo ndio situation.

Tuhuma zote dhidi ya RNC na FDLR (political wing), ni za kupika wala hazijawahi kuwa proven in any competent court. Wewe labda uniambie which court in Rwanda proved kwamba mabomu sokoni ni kazi ya FDLR na RNC? hizi zote ni tuhuma za prosecutor tu and nothing else.

Hata huo ugaidi/uharamu wa RNC ni by extension. RNC haina hata mazungumzo wala uhusiano na FDLR, kama yapo yathibitishe, what happened ni kwamba RNC walisema kuwa watashirikiana na vikundi vyote even armed ones, to find a peaceful solution (rejea ile barua ya karegeya) in Rwanda.
Now, since FDLR is an armed organization, then by extension ndio sasa RNC inaitwa a terrorist group by kagame's government. This is pure stupidity that can only be explained in a dictatorship. FDLR leaders wako mpaka kwenye list za UN za kutosafiri, if RNC is collaborating with FDLR do you think its leaders would be living in U.S of all places
as political exiles given the relationship between U.S and Rwanda?



This is possible only because the definition of a terrorist in rwanda is very unique to the rest of the world! create a poll anywhere kuchagua suggestion ya peace talks with FDLR ya kikwete au reaction ya kagame to the advice, halafu uone nani atashinda, this is because what FDLR is in kagames eyes is different from everybody else.

Haya hebu soma msg zake alizoandika mwenyewe huyo unaemtetea halafu uniambie kama msg kama hizo ukikamatwa nazo huko kwenu polisi watakuomba msamaha halafu wakusindikize mpaka nyumbani kwako. You are pathetically blinded by the hate for Kagame that your reasoning is impaired.


NVESTIGATION: How Musician Mihigo Plotted to Overthrow Kagame

In 1994 when the Hutu militia were beheading the Tutsis and disembowelling expectant mothers in Rwanda, Kizito Mihigo was only 13 years-old.
By Giles Muhame 16/04/2014 13:20:00
thumbnail.php

Kizito Mihigo has since confessed conspiring to overthrow President Kagame's government Kibeho in Nyaruguru District was the site of the mass murder of students from Marie Merci School. Hundreds were slaughtered in churches.
In one church in Kibeho, the Interahamwe threw grenades and asphyxiated victims with smoke from outside.
The French-led Operation Turquoise, which provided a safe haven for genocidaires’ transit into neighbouring Zaire after the end of the genocide, meant that Kibeho became a stronghold of the Interahamwe until the Rwanda Patriotic Front liberated the area in 1995.
It’s here that Augustin Buguzi, the father of Rwanda’s most popular musician, Mihigo, was killed by the Interahamwe.
Having been brought up in a Catholic Christian educational environment, Mihigo started composing songs at the age of 9.
Five years later, when he was a secondary school student at the Petit Seminaire de Butare, he became the most popular liturgical organist composer in the Catholic Church of Rwanda.
The slaying of his father emboldened the talented musician to release more songs to soothe the hearts of the genocide survivors and encourage reconciliation in a country torn apart by unprecedented levels of bloodshed.
The tragedy further inspired the young musician to become the organist-singer-author and composer of the most popular songs in Rwanda.
A year after the genocide, Mihigo composed hundreds of liturgical compositions which were rapidly exploited in several parishes in Rwanda.
At the age of 19 in 2000, Mihigo was already author and composer of over 200 liturgical songs, sung in all the parishes of Rwanda.
In 2003, noticed by the authorities of the country, he was sent to Europe to follow his music studies.
In 2008, Mihigo’s star continued to shine. He received the postgraduate diploma (DFE) at the “Conservatoire de Musique in Paris”.
From 2008-2010, after his graduation, he was a music teacher in Belgium.
In 2010 he founded the KMP (Kizito Mihigo for Peace) a non-profit foundation with the mission of using Art in peace building.
In 2011, Imbuto Foundation, the organization of the First Lady of Rwanda, handed Mihigo the price CYRWA (Cerebrating Young Rwandan Achievers), in recognition of his artistic activities for Peace and Reconciliation.
The plot
Early this year, something strange, shocking and unbelievable happened.
As part of their operations aimed at enhancing security for heads-of-state and other high profile dignitaries at events held to commemorate 20 years after genocide, Rwanda security agencies intercepted messages where three individuals were planning to oust or kill President Paul Kagame.
Among them was Mihigo, a musician whose songs had played a pivotal role in healing the nation.
Chimpreports investigations show that due to his nationwide popularity, Mihigo was last year recruited by the opposition Rwanda National Congress (RNC) which recently joined hands with FDLR to overthrow Kagame’s government.
According to messages intercepted by security, Mihigo explains why he would want to see the overthrow of the government.
On March 10, Mihigo told RNC leader Callixte Nsabimana, alias Sankara, in Kinyarwanda: “Ariko rero mon ami, jyewe numva rwose mubonyeu buryo mukuraho Rwbujindiri hatabaye intambara, byaba byiza kurushaho (But my friend, I think if you could find a way to remove the leaders without war, it would be even better.)”
This implied that all along Mihigo knew of the plot to overthrow the President by means of war.
In response, Sankara said “At this point, war is inevitable because he (President Kagame) cannot agree to negotiations.”
This website understands these messages will be tendered as evidence when Mihigo appears in court next week.
During the conversation with Sankara, Mihigo sent another message: “Isn’t there a way to force him? Or why don’t we kill him (Kagame) only?” The RNC official answered, “We have to get ready to strike with force, take over one province fast, rally external powers and have them come between us to force negotiations.”
Mihigo responded: “Numva aricyo Imana yandemeye,” meaning, “I think it’s God's calling for me.”
Investigators who have been trying to establish Mihigo’s motives say he saw in himself potential to obtain a huge position in government if the RPF system crumbled.
“Mihigo was not motivated by money but hunger for power,” said a source who preferred anonymity so as to speak freely.
As Mihigo and Sankara planned Kagame’s overthrow, a lady indentified as Agnes Niyibizi was carrying money to Jean Paul Dukuzumuremyi, a demobilised soldier to plant explosives which would bring down the towering Kigali City Tower (KCT).
Police quickly moved into action, seizing Dukuzumuremyi.
According to Rwanda National Police spokesperson, ACP Damas Gatare, the law enforcement body is “in possession of ample evidence including grenades and testimonies obtained from other accomplices arrested during the course of investigation.”
The cache of grenades was found in Dukuzumuremyi’s possession.
Mihigo’s messianic ambitions were later confirmed in a conversation with Sankara on March 11.
Sankara told the musician: “Igihugu cyawe kigutezeho kugicungura urubyiruko rwabahutu nabatutsi rukeneye ko uhagarara hagati kugirango ejo hazaza ibara ritazongera kugwa (Your country is waiting for you to save it. Hutu youth and Tutsi are waiting for you to stand up for them to ensure that tragedy never happens again.”
Mihigo responded: “Numva aricyo Imana yandemeye (I think it’s god's calling for me)” BBC Journalist’s Involvement
Investigators would later land on precious evidence before executing Mihigo’s arrest. On March 11, Sankara told Mihigo of a plan to secure the latter’s stay in London after releasing a series of songs backing the overthrow of Kagame’s government.
“I was speaking to Venuste Nshimiyimana, a journalist from BBC London who is a friend,” said Sankara.
“I was telling him about your song and the bad reaction people have had. Why don’t you let him get you an invitation from BBC so you can get a UK visa? You can go there instead of Belgium.”
At the time, Mihigo had just released a controversial song titled “Igisobanuro cyurupfu (the meaning of death.)”
In the song, Mihigo talks about a possible double genocide and insinuates there are people who retaliated for those killed in genocide.
Mihigo expressed willingness to travel to London. “Brother, I am in,” the singer told Sankara.
The RNC official also showed Sankara the message he had received from journalist Nshimiyimana.
It read: “Reka nkwereke msg anyohereje. “Umubaze azaze anyure kuri BBC TV and radio. Bamukorera PR atigeze abona mbere (Let me show you the message he has sent. “Ask him to come and be on BBC TV and Radio. They will give him the kind of PR he has never seen.”
Asked whether he would be available for the TV interview on April 7, Mihigo answered: “With pleasure.”
Rwandan authorities did not wait for Mihigo to appear on BBC. He was arrested and incarcerated. Bamporiki
In his conversation with Sankara, Mihigo exhibits distaste for Edouard Bamporiki, Rwanda’s youngest legislator in the Chamber of Deputies.
“Bro, the way Hutu admire me is the same way Tutsi hate me, but especially that Hutu called Bamporiki who pretends to be more Tutsi than Tutsis,” said the jailed musician.
Boasting of a network of hit men in Rwanda, Sankara tells Mihigo: “If you want, I can tell the youth that work there to ‘punish’ him. Two weeks and it will be done.”
He adds: “Iriya mbwa nasabye abasore banjye gukemura ikibazo cyabo (That dog, I have asked our men to solve this problem.”
On March 13, Mihigo said he would be thankful for the elimination of Bamporiki.
He told Sankara: “The day you plan to ‘solve the problem’, tell me so I can delete you number (it’s ok I know it by heart). I will then go share a meal with some people so that I have people vouching for me in case they say that I am the one responsible for killing him. It will be true justice because when the State does not know how to give justice and instead expedites injustice, people must do it on their own.”
Tanzania’s role
In a boastful tone, Sankara promised: “Brother, I am with one of my superiors. Leave that problem to me and blame me if it is not solved. Because there, except for pk (Paul Kagame) who is difficult, all the others would not live to see the next day if I decide. Delete these messages.”
A day later, Sankara exposed the role of Tanzania in attempts to overthrow Kagame’s government.
He said plans had been finalised for RNC-FDLR to officially declare war on Rwanda.
An entire province would fall in the hands of rebels after which world bodies would be urged to intervene and force Kagame to the negotiating table.
Rwanda maintains it will not discuss with anyone linked to the genocide. The FDLR’s leaders were responsible for the 1994 mass slaughter in Rwanda.
During the war against the M23 rebels in eastern Congo, Tanzanian forces reportedly armed the FDLR militia to battle Brig Sultan Makenga’s fighters.
The Tanzanian contingent operated heavy artillery, bombing M23 bases from a very long distance.
South Africa, the home to RNC top leadership, provided the necessary airpower that pounded M23’s positions, with many of the combatants fleeing to neighbouring Uganda and Rwanda.
The defeat of M23 removed the buffer zone that protected Rwanda from FDLR.
Initially, Rwanda was opposed to the use of force against M23, saying a political solution was vital for the peace and stability of eastern Congo.
On March 14, Sankara told Mihigo he was in company of “someone who is supposed to help our group with where we are will make our declaration. Tanzania is ready to help us, give us full security and help us by all means.”
Mihigo asked, “when would that be?” the RNC official responded: “April.”
Safety
On the same day, Mihigo stated: “That’s too soon. I am looking for a way to leave first. Because that is where I will be able to release the two other songs I have prepared and whatever happens, I have to do it during the Commemoration period.”
He further told Sankara: “My brother, just wait until I leave this land and you will see. They will talk about me and I will reply in a way that will transform people.”
“The important thing is that you hide. Take out your battery and find another phone,” Sankara advised the musician.

“Ahubwo se ubwo ninkuramo batterie ntibashobora kumva ko hari icyo nikeka icyaha kikampama kandi bashoboraga kubura preuve? (But if I take out my battery, won’t they think I am guilty when they could have ended up with no proof?” wondered Sankara.

- See more at: Chimpreports.com-Uganda News - INVESTIGATION: How Musician Mihigo Plotted to Overthrow Kagame
 
murutongore.


Do you ever analyze anything yourself from scratch? why don't you read what you have copy/pasted then come up with your own informed opinion.
 
Last edited by a moderator:
murutongore.


Do you ever analyze anything yourself from scratch? why don't you read what you have copy/pasted then come up with your own informed opinion.

Dimwit. I am asking you..have you read the captured messages from this guy communicating with the leader of RNC? Au nazo unataka kusema kagame amezitengeneza. What do you have to say now? Boooy! Still defending the suspect?
 
murutongore.


Do you ever analyze anything yourself from scratch? why don't you read what you have copy/pasted then come up with your own informed opinion.

Maybe if i may add. What would your "democratic" government do so someone like him if you intercept messages like those that i have "copied and pasted" Uuuhh!!! Tell me
 
you are very right, in fact the whole world calls it Rwandese genocide (neutral). Dictator kagame decided to change it in 2004 to "genocide against tutsis" and then created a set of laws to put in jail whoever questions his version.

Mwaka huu wapinzani wa rwanda povu litawatoka sana na bado,its matter of time,mtaokotwa wote.
 
1. where else do suspects get kidnapped and hidden at secret locations for a week and then wanaibuliwa to "give confessions to the media" before being taken to court? only in Rwanda! Suspects wote wa design hii huwa wanatishiwa maisha ya familia zao popote walipo duniani, hata karegeya na nyamwasa ndugu zao wamenyang'anywa passports za Rwanda. Hiyo confession ni matokeo ya blackmail tu hamna kitu hapo. The guy is doing it for his family, nothing else.

2. Kizito mihigo ni mmoja wa survivors wa mauaji ya interahamwe 1994, he is a tutsi!, a real tutsi born and bred in Rwanda, not tutsis from tabata and tegeta like the ones in JF, How possible is it eti, leo hii ashirikiane na FDLR? wale wale supposedly "tutsi killers" ambao walimuulia ndugu zake, tena for money and cheo?

3. tuhuma za mashambulizi ya grenades kigali hazijawahi kuthibitishwa kuwa wahusika ni RNC, RNC wamekataa, FDLR wamekataa, hata hiyo taarifa yako hapo juu inasema hivi "Both FDLR and RNC have been linked to grenade attacks in the country." Linked by whom? since when kundi la ukombozi likatae harakati zake zenyewe? Makundi yote haya ni makundi yanayoundwa na wanajeshi wa ukweli, hakuna logic yoyote ya wataalamu wa strategy za kijeshi kama hawa akina Nyamwasa kupindua nchi kupitia vibomu viwili vya mkono sokoni, to what end? hivi vibomu ni sinema ya kagame to frame these people and nothing else. Si RNC wala FDLR inayoweza kufanya mashambulizi ya kitoto kama hayo.
Ulipue jengo halafu iweje? what purpose does it serve, how does that contribute in the overall scheme of overthrowing the gov?

wanaokamatwa ndo huwa wanasema...hata mara moja makundi kama hayo ambayo hayana hadhi ya uasi per se hawawezi kuclaim responsibility as they think are to a certain percent democratic.....usilolijua ni kama ucku wa giza
 
wanaokamatwa ndo huwa wanasema...hata mara moja makundi kama hayo ambayo hayana hadhi ya uasi per se hawawezi kuclaim responsibility as they think are to a certain percent democratic.....usilolijua ni kama ucku wa giza

lets agree to disagree. RNC ni watu walioweka bayana malengo yao na kila mwenye akili timamu anajua kuwa hawa ni wanasiasa na si materrorists.
 
Maybe if i may add. What would your "democratic" government do so someone like him if you intercept messages like those that i have "copied and pasted" Uuuhh!!! Tell me

my democratic government will take him to court according to the law, rejea kesi ya wilfred lwakatare who is out on bail now! na video yake iko mtandaoni for everyone to see. Then compare with kidnapping someone and hiding him for a whole week, halafu kumparade in public eti for "confession", lakini msiweke hizo conversation clips tusikie wenyewe what exactly he said.
 
Back
Top Bottom