Mwanampotevu nimerudi sijui mtanikaribisha?

Mwanampotevu nimerudi sijui mtanikaribisha?

Zipuwawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
3,050
Reaction score
656
Wana jamii ni siku nyingi sasa nilipotea humu ndani hadi naona aibu leo hii nimekuja naona hata aibu sijui nianzie wapi kwani hata wale niliokuwa nawafahamu watakuwa wamenisahau......ila kwakuwa mimi ni mbishi nakuja mara nyingine tena nakusema nimerudi mwana mpotezu atakachukia mimi kurudi basi .....ila nipo mjengoni nitajikita sehemu zote ........kama kawaida...nimeweka huku ili watu waweke utani wao humu mnaonikumbuka plz nisalimieni ......................................
 
habari zenyu bhanaa..karibu sana kiongozi...usione aibu mwiko kwa wanaume...vipi ughaibuni kwema
 
Zipu gani ipo waa, ya mbele au huko background..?
 
Haha...mimi nakumbuka hako ka avatar!!!
karibu tena mjengoni..kuna kiumbe kinaitwa PAW, baadhi wanasema kiko fair, wengi wanakataa, mimi napinga!
 
Haha...mimi nakumbuka hako ka avatar!!!
karibu tena mjengoni..kuna kiumbe kinaitwa PAW, baadhi wanasema kiko fair, wengi wanakataa, mimi napinga!

mkuu unapinga nini sasa! wanaosema kiko fair au wanaokisulubu?
 
Zipu wazi umerudi ? kinadada wanaogopa labda uwe umefunga zipu.
 
Me mwenyewe ckujui,we ni nan,unatoka wap na kwa nin ulipotea?
 
Karibu sana!! jitahidi kuielewa signature yangu! utatuepusha na usumbufu usiokuwa wa lazima jamvini.
 
Wana jamii ni siku nyingi sasa nilipotea humu ndani hadi naona aibu leo hii nimekuja naona hata aibu sijui nianzie wapi kwani hata wale niliokuwa nawafahamu watakuwa wamenisahau......ila kwakuwa mimi ni mbishi nakuja mara nyingine tena nakusema nimerudi mwana mpotezu atakachukia mimi kurudi basi .....ila nipo mjengoni nitajikita sehemu zote ........kama kawaida...nimeweka huku ili watu waweke utani wao humu mnaonikumbuka plz nisalimieni ......................................
Samahani, wewe ni binti mdogo ndio maana unaona ona aibuuuuuuu???????
 
nakumbuka kuna kipindi ulisema una ukwasi.......uliisha.....? au nakufananisha?
 
Duh karibu zipuwazi....ooooooooooooops!! hivi ya arabuni vipi? yule mpenzi wako? usha'do' hivi karibuni ama tubinti twa kiarabu bado tunachemsha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom