Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
dada nini tena? Mimi mkaka akinitokea namwambia nasoma nimefulia mbaya mwenyewe anatoka nduki balaa
Si ni afadhali angekuwa wa hit and run? Acha tu sitii neno mie
dada nini tena? Mimi mkaka akinitokea namwambia nasoma nimefulia mbaya mwenyewe anatoka nduki balaa
kumbe shemeji?? Mwambie awe na adabu bwana loh?si ni afadhali angekuwa wa hit and run? Acha tu sitii neno mie
kumbe shemeji?? Mwambie awe na adabu bwana loh?
piga chini fasta!! Eboo anakugeuza atm!!! MiIMARIOO inaniboa kuliko majabanzi!!
Si ni afadhali angekuwa wa hit and run? Acha tu sitii neno mie
piga chini fasta!! Eboo anakugeuza atm!!! MiIMARIOO inaniboa kuliko majabanzi!!
piga chini fasta!! Eboo anakugeuza atm!!! MiIMARIOO inaniboa kuliko majabanzi!!
hpa kwa upande wangu kuna mawili km ni mpnz tu na sio mume,kamwe huwa sitoi cash nitamnunulia zawadi au kumkopesha na atakapokuwa mume hapo kilicho changu kitakuwa chake pia,lzm tutashea matatizo na kuyatatua!otherwise hata iweje kamwe sihongi mwanaume.
Nakushauri acha kbs kumpa hizo hela then msikilizie itakuwaje na hiyo ndoa itatimia coz anaweza tangaza ndoa ili akuchune vizuri na kusepa zake ubaki unalia lia!
Abeeeee!here i am serio,iz everi sing oke?cantalisia..
Wama JF naomba ushauri wenu, mwanamme kuomba pesa kwa mpenzi wake, ni sawa?
Nina mpenzi ambaye kutwa ana shida yeye, mimi sijawahi kumuomba, lakini yeye ndio kila siku ana matatizo ya kutaka pesa, na sio ndogo. Nimechoka, sasa hivi nimeamua kumchunia. Naomba uzoefu wenu wakaka, hii maana yake nini? Anadai kipato changu kikubwa kuzidi yeye, na hapa katangaza ndoa. Ushauri wenu ni muhimu kabla sijajiingiza kichwa kichwa.