Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Ndugu zangu wanaJF, naombeni ushauri wenu.
Nina mwanamke wangu nampenda sana na ninamuelewa kwa tabia zake za uvumilivu,heshima kwa ndugu zangu, nikikosea hata nikikosea huwa mwepesi kunikosoa wapi nakosea huwa anaelekeza kwa kifupi ni mwanamke anajitambua kwa kweli nampenda mnoo,
Ila shida inayokuja saivi ameamua kuninunia nikimtumia meseji saa nyingine anajibu short cut na saa nyingine hanijibu kabisa hata kuonana na Mimi hataki tuzungumze yaishe na chanzo cha yeye na mimi kutoelewana ni simu alinipigia sikupokei ilikuwa chaji nilivyokuja kumpigia alinifokea sana na kuanzia kulalamika akajua simu sikupokea makusudi siku ya pili nilimpigia simu kumuelezea sikupendezwa na ile hali ya juzi alichofanya sio sahihi kunifanyia vilee
Basi amenikasirikia hataki kuongea na Mimi kwa kifupi kaninunia kila nikijaribu kujirudi basi arudishe moyo wake kama zamani lakini wapiii
Naombeni ushauri mimi kwa kweli sijisikii vizuli anavyonifanyiaaaa
Nina mwanamke wangu nampenda sana na ninamuelewa kwa tabia zake za uvumilivu,heshima kwa ndugu zangu, nikikosea hata nikikosea huwa mwepesi kunikosoa wapi nakosea huwa anaelekeza kwa kifupi ni mwanamke anajitambua kwa kweli nampenda mnoo,
Ila shida inayokuja saivi ameamua kuninunia nikimtumia meseji saa nyingine anajibu short cut na saa nyingine hanijibu kabisa hata kuonana na Mimi hataki tuzungumze yaishe na chanzo cha yeye na mimi kutoelewana ni simu alinipigia sikupokei ilikuwa chaji nilivyokuja kumpigia alinifokea sana na kuanzia kulalamika akajua simu sikupokea makusudi siku ya pili nilimpigia simu kumuelezea sikupendezwa na ile hali ya juzi alichofanya sio sahihi kunifanyia vilee
Basi amenikasirikia hataki kuongea na Mimi kwa kifupi kaninunia kila nikijaribu kujirudi basi arudishe moyo wake kama zamani lakini wapiii
Naombeni ushauri mimi kwa kweli sijisikii vizuli anavyonifanyiaaaa