Mwanamke wangu anachat mda wote

Mwanamke wangu anachat mda wote

Mkongwe03

Senior Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
148
Reaction score
88
Jamani naombeni ushauri mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi.
 
Jaman naombeni ushauli mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi
Sasa unataka ushauri wa nini hapa braza......?
 
Jaman naombeni ushauli mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi
Mkuu huwa inapendeza ikisema mke wangu badala mwanamke wangu.
Pole sana, ujue anawasiliana na wanaume tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom