Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Habari za j2 wana jamvi ktk tafakari yangu ya leo nimejiuliza ili mwanaume kufika aumuzi wa kuoa ni bora angeenda kijijini kuoa au ni bora aoe mjini nikidhani either upande mmoja kati ya mjini au vijijini wanawake sio tegemezi na wana true love na kujituma ktk kutafuta. Swali wapi bora?
Nawakilisha
Nawakilisha