Mwanamke wa kweli

Mwanamke wa kweli

Kwangu mwanamke wa kweli ni yule anayejua kudeka na kujinyong'onyesha mpaka nkakung'uta kila kilichomo kwenye wallet

asigwa kumbe mwaapenda kutoa pesa ee! ndo maana bf wangu ananiambiaga kwanini simwambii shida zangu.. Madam B njoo unifundishe jinsi ya kutoboa wallet plz
 
Last edited by a moderator:
Kwangu mimi mwanamke wa kweli ni yule anayejitambua,
Anajua kubeba kilemba chake mwenyewe na kufikia hitaji chanya bila kusukumwa na mitazamo ya wengi.

Asojua kununa kila amuonapo mtoto . . . na badala yake humwonyesha ukarimu wa vitendo uloshamiri tabasamu la kweli toka rohoni!

i lyk t
 
Mwanamke wa kweli!!! Ha ha ha kila mtaka kuoa ana definition yake!!! Dah kazi kweli kweli!! Wa kweli kwako, ni bomu kwa mwenzio!! Ila kwa wale mnasema eti awe mpishi mzuri!! Na sasa wengi ni wasomi tena managers/durectors na wanarudi home late wanapika saa ngapi? Sifa hii kwa sasa si kigezo!! Wa kweli ni yule anayeleta kilo 5-6 za mshahara!! ha ha ha!! Mapishi kuleeeeeeeeeeeeeeeeee!! Mtakula hotel!!! ila pochi linaruhusu kuajiri high class Chef!! Tuache ubahili!!
 
[aQUOTE=Zogwale;5100240]Mwanamke wa kweli!!! Ha ha ha kila mtaka kuoa ana definition yake!!! Dah kazi kweli kweli!! Wa kweli kwako, ni bomu kwa mwenzio!! Ila kwa wale mnasema eti awe mpishi mzuri!! Na sasa wengi ni wasomi tena managers/durectors na wanarudi home late wanapika saa ngapi? Sifa hii kwa sasa si kigezo!! Wa kweli ni yule anayeleta kilo 5-6 za mshahara!! ha ha ha!! Mapishi kuleeeeeeeeeeeeeeeeee!! Mtakula hotel!!! ila pochi linaruhusu kuajiri high class Chef!! Tuache ubahili!![/QUOTE]


hahaaaa... Umeniacha hoi! Lakin mshahara wa mwanamke ana mahitaj meng. Akikukabidh af unaanza kumpangia bajet, salun ef 10 kwa mwez, via2 kununua mpaka vchanike, mafuta beb care lol...
 
Kwangu mwanamke wa kweli ni yule anayejua kudeka na kujinyong'onyesha mpaka nkakung'uta kila kilichomo kwenye wallet

Asigwaaaaaaa!!!!!!!! Yaani wanaume wote wangekuwa kama wewe, nadhani tungenenepa huku mjini!!!!!!! Hongeraaaaa! Imaraaaaaaa! Waaaaaaaaaaa!
 
Hapa niko zero!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
asigwa kumbe mwaapenda kutoa pesa ee! ndo maana bf wangu ananiambiaga kwanini simwambii shida zangu.. Madam B njoo unifundishe jinsi ya kutoboa wallet plz

Teh inabidi umwage mishida yako on the table bana na yeye amwage mihela on top of them... Mwanaume bila kutoa mihela mbona nahisi kama hajakamilika vile???
 
Asigwaaaaaaa!!!!!!!! Yaani wanaume wote wangekuwa kama wewe, nadhani tungenenepa huku mjini!!!!!!! Hongeraaaaa! Imaraaaaaaa! Waaaaaaaaaaa!

Lara1 mwanaume kujisachi mpaka senti ya mwisho bana...ila kuna vimdada navyo vinapenda kujisachi aisee usipime.........
 
That is why you are among my favourite.
Kikubwa mwanamke ajitambue na atambue majukumu yake, na sio wa kusukumwa na upepo au maoni ya watu ambayo hayako universal wala static. Juwa morals zako na wajibu wako, you are the best person sio mwanamke tu.

Kuna kifungu fulani cha biblia ambapo Mungu baada ya kukasirikia waisraeli alisema atatengeneza agano jipya ambalo amri zitaandikwa kwenye mioyo ya watu; hivyo huhitaji mtu mwingine kukuambia kuwa kumtukana mumeo ni vibaya au kuzini ni vibaya coz it is all written in your heart.

i like this
 
mwanamke wa kweli ni yule ambaye
1) anakubali kuwa mwaname ni kichwa cha familia
2) anajua kabisa kuwa yeye analinda hshima ya mumewe
3) looks pretty at all times
4) full maujanja kwenye game la kugegedan
5) mpishi mzuri

mwanamke heshima yake inalindwa na nani?
 
mwanamke wa kweli ni yule ambaye
1) anakubali kuwa mwaname ni kichwa cha familia
2) anajua kabisa kuwa yeye analinda hshima ya mumewe
3) looks pretty at all times
4) full maujanja kwenye game la kugegedan
5) mpishi mzuri

Mpango mzima, huyu ni wife material mazima.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mwanamke wa kweli ni
mtii na heshima ( bt t depend on the c2ation)
mwaminifu
upendo & so so.
Bt mwanamke wa kweli ni yule anaemdunda mumewe badala ya kimada akimfumania mumewe. ( ni mtazamo 2 unaweza weka vgezo vyako)
Je wewe ni mwanamke wa kweli?





Kwangu mimi mwanamke wa kweli ni yule anayejitambua,anayajua majaukumu yake na kuyatekeleza kikamilifu bila kusimamiwa na mtu yeyote na mwenye good character!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom