Mwanamke wa kitanga

Mwanamke wa kitanga

sijui mods kwanin hawaanzishi subforum ya hoja nyepesi,,,na za kitoto toto.
Hapa zibaki ngumungumu...nzito,,zenye mantiki.
 
Naskia kuna kabila la tanga sijui ni wabondei, sijui wadigo mweeh chupi mkononi hao!
 
Sio vyema kuhukumu kabila kwa
kosa la watu wachache, mimi ninacho shauri kama wamependana acha
waoane. Kuwa mdigo, mzigua, mbondei, msambaa, mshombe, mhandeni
haijalishi.

Anaweza kuwa Msegeju.
 
Huyo mdogo wako anataka kuoa kabila gani?kama ni mdigo asilimia kubwa wanatabia za ajabu ajabu sana mimi kaka yangu yamemkuta.
 
Tanga kuna wazigua, wadigo,wasambaa, wabondei na wasegeju sasa huyo binti wa kitanga kabila lepi...I hate that man,I must to know him better..alaf hayo mambo ni ya kizaman na story tu kukaa Kwangu Tang kote cjawahi ona wala ckia kwa m2 suala usemalo.TANGA RAHA, MOMBASA RAHA, ZANZIBAR STARA
 
ushirikina ni tabia ya mtu na sio kabila lake wala sehemu aliyotokea. mbona kuna wanaooa sehem nyingine tofauti na tanga na pia wanaorogwa
 
Nyie pigeni kelele tuacheni tuliooa T*A mapenzi yalipoanzia tufaidi, jamani Tanga raha mahaba kwenda mbele, Mwache aoe.
 
Nyie pigeni kelele tuacheni tuliooa T*A mapenzi yalipoanzia tufaidi, jamani Tanga raha mahaba kwenda mbele, Mwache aoe.

Wengine wanafatia mkumbo tuu eti Tanga wachawi. ndugu zangu kuna makabila ni hatari sema hawavumi tuu. kama mtu kapenda mtu wake mwacheni kwani anaoa kabila au mke..acheni hizo
 
Back
Top Bottom