Mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa.

Mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa.

Lucha

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2018
Posts
20,325
Reaction score
62,202
Asalam Alaykum.
Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 28
Mrefu
Mwembamba
Muajiriwa.
Sina mtoto.

Sifa za mwanamke naemuhitaji
Muislam
Anaevaa stara.
Asiwe na mtoto.
Miaka 26 kurudi chini.

Asante tangazo hili ni kwa yule tu alie tayari kuingia kwenye ndoa ikiwa atapatikana nita-update tangazo kujulisha umma na kufunga ukurasa.
 
Asalam Alaykum.
Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 28
Mrefu
Mwembamba
Muajiriwa.
Sina mtoto.

Sifa za mwanamke naemuhitaji
Muislam
Anaevaa stara.
Asiwe na mtoto.
Miaka 26 kurudi chini.

Asante tangazo hili ni kwa yule tu alie tayari kuingia kwenye ndoa ikiwa atapatikana nita-update tangazo kujulisha umma na kufunga ukurasa.
kila la kheri mkuu
 
Asalam Alaykum.
Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 28
Mrefu
Mwembamba
Muajiriwa.
Sina mtoto.

Sifa za mwanamke naemuhitaji
Muislam
Anaevaa stara.
Asiwe na mtoto.
Miaka 26 kurudi chini.

Asante tangazo hili ni kwa yule tu alie tayari kuingia kwenye ndoa ikiwa atapatikana nita-update tangazo kujulisha umma na kufunga ukurasa.
Unatafuta mke au dini? Kama sifa ni uislam, angalie wasikuijie dada zako maana ndugu wa muislam ni muislam tunachezewa
 
Ujaaliwe kheri na umpate mke mwema.
NB: Umeeleza una miaka 28?Dah! Kumbe muda wa kutembea kwa kutumia mawakili( mikongojo) umefika malangoni pangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom