frenderPH
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 619
- 805
Wadau wangu wa JF nina mjadara mdogo kidogo ninaomba kushare na nyiny ni hiv
Kuna dem niilikutana nae chuo first year dem mzuri ambae anasifa zote ambazo kila mwanaume atahitaji kuwa nae katika mahusiano. Nilimtokea huyo dem kwa muda mrefu sana kama miezi 8 lakini siku zote jibu analonipa ni Yes kwamba ananipenda sana na kila siku lazima anitafute hata kama nikiwa bizee au nikivunga kumsahau kumtafuta lazima yeye awe wa kwanza kunitafuta But kitu kinacho nitatiza anasema ananipenda lakin swala la Deti Hataki
Ananipenda lakini kuDeti anaogopa hii inamaana gani
Kuna dem niilikutana nae chuo first year dem mzuri ambae anasifa zote ambazo kila mwanaume atahitaji kuwa nae katika mahusiano. Nilimtokea huyo dem kwa muda mrefu sana kama miezi 8 lakini siku zote jibu analonipa ni Yes kwamba ananipenda sana na kila siku lazima anitafute hata kama nikiwa bizee au nikivunga kumsahau kumtafuta lazima yeye awe wa kwanza kunitafuta But kitu kinacho nitatiza anasema ananipenda lakin swala la Deti Hataki
Ananipenda lakini kuDeti anaogopa hii inamaana gani