Hizi kesi zimekuwa nyingi sana. Kuna wenzio kibao humu utawaona tu. Undeni umoja wenu wa wapigwa mizinga/vibomu halafu mjue mtasonga vipi kwa pamoja.
Hahahahah eti waunde umoja wao
Hizi kesi zimekuwa nyingi sana. Kuna wenzio kibao humu utawaona tu. Undeni umoja wenu wa wapigwa mizinga/vibomu halafu mjue mtasonga vipi kwa pamoja.
umoja wa wabahili??
Hizi kesi zimekuwa nyingi sana. Kuna wenzio kibao humu utawaona tu. Undeni umoja wenu wa wapigwa mizinga/vibomu halafu mjue mtasonga vipi kwa pamoja.
Kwakweli inabidi waunde umoja maana wametuchosha kila siku lawama hizi hizi, wanaume na nyie mmezidi ubahiri khaaaah!! Kwani mkitoa mnakufa?
Wanataka wapewe wao.....hivi wanaume wa siku hizi mmekuaje....?.....kwa nini hamtaki kutoa hela......?.........ua bila kumwagiliwa mnadhani litapendezaje......?......
Hizi kesi zimekuwa nyingi sana. Kuna wenzio kibao humu utawaona tu. Undeni umoja wenu wa wapigwa mizinga/vibomu halafu mjue mtasonga vipi kwa pamoja.