Wote nyie mnaobishana kwa mada hii wote mmetokea mikoani ..dar kila mtu kaja kutafuta hakuna cha wa dar wala wa mikoa wote ninyi ni watanzania acheni usangwenya, acheni taarabu mpango mzima ni kutafuta pesa sasa nyie endeleeni kudadavuana watu wanasonga mbele.
Wote nyie mnaobishana kwa mada hii wote mmetokea mikoani ..dar kila mtu kaja kutafuta hakuna cha wa dar wala wa mikoa wote ninyi ni watanzania acheni usangwenya, acheni taarabu mpango mzima ni kutafuta pesa sasa nyie endeleeni kudadavuana watu wanasonga mbele.
Mwanamke acha aitwe mwanamke, shida yenu wanaume wa Dar nanyi mnataka kila mwanamke analofanyiwa nanyi mfanyiwe na mfanywe, mnatuaibisha saaana. Sie tuna wanawake wanaoinjoy raha za mume, nyie mnazichezea tu hizo papuchi "kimoja chalii"