Mwanamke usilete mazoea chumbani

Mwanamke usilete mazoea chumbani

Sababu mojawapo inafanya wanaume watafute wake za watu, makahaba, vident ni kwasababu hawa watu wanakutana nao mara chache sana na wanapokutana nao huwa ni wanawake wanaojiandaa na usafi wa hali ya juu.

Mwanamke wako akiwa sio mtu wa kujiweka safi yaani ile ya muda wote lazima akukate stimu. Hata siku akisema ajiweke safi utajua leo kafanya kwasababu anataka kukufurahisha wewe tu ila sio haiba yake ya kuwa msafi.

So kimsingi wanawake kama umeamua kuwa msafi wa mwili na kujipamba fanya kwaajiri yako yaani kama mwanamke kuwa msafi sio kwaajiri ya kumtega mwanaume halafu akishategeka kesho unaanza tena kurejea hali ya kawaida ya kuwa rough.
 
Wanawake hawajielewi hawaeleki pia.Kuna mmoja Leo kanifokea mpaka mishipa imemtoka Neva utadhani zinataka kupasuka.Nimebaki kucheka tu anaweza akafoka Kwa nguvu hata Lisaa BIla kuchoka Hadi akaenda kunywa maji Kuja kurudi kufoka Hadi unamwambia apumzike half time.Akija kulala mdomo hoi Hadi unamuonea huruma utadhani huo mdomo unaendeshwa na Jenereta.
 
Dah,kweli mtu anayewaza mipango ya kesho atapata mda wa kula sebuleni kidogo na kwenda kula tena chumbani?duh,
 
Alafu vijana wengi wanaishi chumba kimoja sasa sijui hayo unayafanya sa ngapi?
 
Wanawake hawajielewi hawaeleki pia.Kuna mmoja Leo kanifokea mpaka mishipa imemtoka Neva utadhani zinataka kupasuka.Nimebaki kucheka tu anaweza akafoka Kwa nguvu hata Lisaa BIla kuchoka Hadi akaenda kunywa maji Kuja kurudi kufoka Hadi unamwambia apumzike half time.Akija kulala mdomo hoi Hadi unamuonea huruma utadhani huo mdomo unaendeshwa na Jenereta.
Kuna wengine hasira zao mpaka aongee,kwa mtu wa hivyo inabidi uwe mpole
 
Sababu mojawapo inafanya wanaume watafute wake za watu, makahaba, vident ni kwasababu hawa watu wanakutana nao mara chache sana na wanapokutana nao huwa ni wanawake wanaojiandaa na usafi wa hali ya juu.

Mwanamke wako akiwa sio mtu wa kujiweka safi yaani ile ya muda wote lazima akukate stimu. Hata siku akisema ajiweke safi utajua leo kafanya kwasababu anataka kukufurahisha wewe tu ila sio haiba yake ya kuwa msafi.

So kimsingi wanawake kama umeamua kuwa msafi wa mwili na kujipamba fanya kwaajiri yako yaani kama mwanamke kuwa msafi sio kwaajiri ya kumtega mwanaume halafu akishategeka kesho unaanza tena kurejea hali ya kawaida ya kuwa rough.
Nilimuona dada mmoja kwa mwezi anamtega mara moja
 
Kila Siku Kitandani.....
Kila Mara Kifo Cha Mende,
Mmmh Mwenzangu Hebu Siku Moja Chukua Busati Liweke Chini.

Chukua Mito Yako Uipange Kwenye Busati halafu Tuliza Akili Yako Pahali Hapo.

Si Vibaya Na Chakula Ukakiandaa Hapo Pembeni,

Baada Ya Hapo Andaa Mazingira Ya Kumtega Mumeo. Nikisema Kumtega Mumeo Siyo Kuweka Mtego Kama Wataka Kushika Panya Akaaah, Ukipigwa Mie Simo.

Bibie Namaanisha Hivi Mida Ya Sweetheart Kurudi Uwe Ushajindaa, Ushajifusha Penye Kipuli Umevaa, Kama ni Cheni Imetulia Kifuani na Mapambo Yote upendayo Mwenyewe kisha Tafuta Kinguo Chako Kilaini Vaa Kisha Msubiri Mumeo.

Baada ya Salam na Mapokezi Mazuri ya Mahaba aweza asiwaze hata kuoga, matokeo Yake Yakawa Kula Kitumbua Kwanza halafu Mambo Mengine Yatafata.

Patamu hapo.

Bibie Mume Ataka Mabadiliko Kama Vile Unavyo Badilisha Nyumbani Kwako, leo Wapanga Hivi Kesho. Kesho Kutwa Ushabadilisha. Siyo Kila Siku Chakula Ukumbini na Watoto, Laaaaa Hata Kama Mna Wageni Usimuache Mumeo ale na Wageni mpaka Akashiba Laaaaa.

Mzoeshe Kuonja tu Kisha Mkalishane Chumbani Upo?

Muda Wa Chakula Yeye Yupo Ukumbini Na Wageni Waeza Mchokoza Tuu Kwa Message hii;

Dear Kula kidogo tuu au Kula Kwa kutegea chakula chetu kipo Chumbani"

Hapo hapo Habib Ataanza Kuwa Na Shauku Leo Bibie Anataka Tule Chumbani Yaonekana Kajiandaa Kweli...!!!
Au Atakiwa Na nyege?
We ni me au ke
 
Kila Siku Kitandani.....
Kila Mara Kifo Cha Mende,
Mmmh Mwenzangu Hebu Siku Moja Chukua Busati Liweke Chini.

Chukua Mito Yako Uipange Kwenye Busati halafu Tuliza Akili Yako Pahali Hapo.

Si Vibaya Na Chakula Ukakiandaa Hapo Pembeni,

Baada Ya Hapo Andaa Mazingira Ya Kumtega Mumeo. Nikisema Kumtega Mumeo Siyo Kuweka Mtego Kama Wataka Kushika Panya Akaaah, Ukipigwa Mie Simo.

Bibie Namaanisha Hivi Mida Ya Sweetheart Kurudi Uwe Ushajindaa, Ushajifusha Penye Kipuli Umevaa, Kama ni Cheni Imetulia Kifuani na Mapambo Yote upendayo Mwenyewe kisha Tafuta Kinguo Chako Kilaini Vaa Kisha Msubiri Mumeo.

Baada ya Salam na Mapokezi Mazuri ya Mahaba aweza asiwaze hata kuoga, matokeo Yake Yakawa Kula Kitumbua Kwanza halafu Mambo Mengine Yatafata.

Patamu hapo.

Bibie Mume Ataka Mabadiliko Kama Vile Unavyo Badilisha Nyumbani Kwako, leo Wapanga Hivi Kesho. Kesho Kutwa Ushabadilisha. Siyo Kila Siku Chakula Ukumbini na Watoto, Laaaaa Hata Kama Mna Wageni Usimuache Mumeo ale na Wageni mpaka Akashiba Laaaaa.

Mzoeshe Kuonja tu Kisha Mkalishane Chumbani Upo?

Muda Wa Chakula Yeye Yupo Ukumbini Na Wageni Waeza Mchokoza Tuu Kwa Message hii;

Dear Kula kidogo tuu au Kula Kwa kutegea chakula chetu kipo Chumbani"

Hapo hapo Habib Ataanza Kuwa Na Shauku Leo Bibie Anataka Tule Chumbani Yaonekana Kajiandaa Kweli...!!!
Au Atakiwa Na nyege?
Haya si kwa waume zetu wa bongo arooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom