Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,964
- 5,552
Hapo vip!!
Wasichana au wanawake wengi wanabaki masingle mothers na kutelekezwaa kwasababu anakuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayempenda..wanawake wengi huwa wanawazaliwa wanaume wanaowapenda wakifikiri ndio njia ya kuolewa kumbe ameamua mwenyewe kuwa single mother kwasababu mwanaume anamuoa mwanamke anayependa..mazingira haya imewafanya wanawake wengu wawe single mother mtaani.
Sasa ipo hivi:ukiwa na mwanaume unayempenda maana yake wewe ndio utakuwa mtumwa kwenye mahusiano,kwa kufanya kila namna ili umridhishe huyo mwanaume..jamaa kwa mazingira haya anakuwa amerelux na atakuwa msichana anayependa na anamuhudumia vizuri.
Ukiwa na mwanaume anayekupenda maana yake yeye atafanya kila njia akufanye kama malkia kwenye maisha yake..na tafanya nafasi yake kisasa kama mwanaume.Pia uwakika wa kuolewa na kutimiziwa majukumu na kupendwa kama mwanamke itafanikiwa kwa 90%
Bibli inasema mwanaume mpende mkeo na mwanamke muheshimu mumeo,maana yake chenye nguvu ndio inatakiwa kikipende kidhaifu,hata Mungu alipenda mwanadamu ndio maana akamtoa mwanye Yesu kristo ili aje amuokoe mwanadamu.
Wasichana au wanawake wengi wanabaki masingle mothers na kutelekezwaa kwasababu anakuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayempenda..wanawake wengi huwa wanawazaliwa wanaume wanaowapenda wakifikiri ndio njia ya kuolewa kumbe ameamua mwenyewe kuwa single mother kwasababu mwanaume anamuoa mwanamke anayependa..mazingira haya imewafanya wanawake wengu wawe single mother mtaani.
Sasa ipo hivi:ukiwa na mwanaume unayempenda maana yake wewe ndio utakuwa mtumwa kwenye mahusiano,kwa kufanya kila namna ili umridhishe huyo mwanaume..jamaa kwa mazingira haya anakuwa amerelux na atakuwa msichana anayependa na anamuhudumia vizuri.
Ukiwa na mwanaume anayekupenda maana yake yeye atafanya kila njia akufanye kama malkia kwenye maisha yake..na tafanya nafasi yake kisasa kama mwanaume.Pia uwakika wa kuolewa na kutimiziwa majukumu na kupendwa kama mwanamke itafanikiwa kwa 90%
Bibli inasema mwanaume mpende mkeo na mwanamke muheshimu mumeo,maana yake chenye nguvu ndio inatakiwa kikipende kidhaifu,hata Mungu alipenda mwanadamu ndio maana akamtoa mwanye Yesu kristo ili aje amuokoe mwanadamu.