100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,626
- 12,055
Mi naona ladha ni feelings zako tu juu yake.Utakuwa mgeni wa dar wewe. Kila mwanamke ana ladha yake na wengine ni kwa ajili ya matumizi tu.
Kingine ni wingu(nyegezi), ukiwa una wingu mpaka limekuwa jeusi, siku ukinyesha ni mvua ya El Niño, oya sio poa.