Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
Na madukani nguo ziwe zimeisha mkuu. Ahahahaaaaa.labda asiwe na vikoba na upatu!!!
Wanawake hamuelewekag mnapenda ninMahusiano ni zaidi ya hela wewe MPE hela usiwe una mubanjua vzuri uone mziki wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe alafu baada ya muda akwambie “beni nikwambie kitu?”
Ushaliw apo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Lakini kuna wanawake wengine unamtunzisha pesa mwisho wa siku tamaa inamjaa anakuibia anasepa, zikiisha anarudi unamsamehe na maisha yanaendelea, je mwanamke kama huyu unamchukuliaje?Waungwana natumaini kuwa mu wazima!
Twende kwenye mada, familia nyingi Afrika ziko kwenye mgogoro au kamgogoro, na migogoro hii husababishwa hasa na mambo ya fedha au mapenzi nje ya mahusiano(cheating).
Sasa hapa ninatoa tiba ya mgogoro unaosababishwa na mambo ya kifedha.
Kulingana na kipato chako ewe mwanaume unaweza kuitafuta fedha ambayo kwa level yenu ya maisha itaonekana ni kubwa. Ichukue mpe mkewe atunze, mwambie itunze ninà kazi nayo.
Ukimpa kama milioni 5, 4,3 au hata laki tano akutunzie moyo wake unakuwa mweupe.
Hii style ina faida zake, ikumbukwe wanawake wana forecast nzuri ya kuona jambo zuri ambalo akikushauri ufanye utapata faida kubwa.
Usiwe dictator kwenye masuala ya fedha, kuwa muwazi ingawa usiwe muwazi kupitiliza.
Wewe huwajui wanawake! Inaonesha hujaoa hata. Mwanamke ukimpa hela atunze, na siku ukawa hujaleta, huo ugomvi Jamaa aliye juu ndiye anajua. Kama unampa zote ukitaka kusaidia ndugu zako, ugomvi sijui nani wa kuuamua. Zikiwa nyingi ataanza 'tumjengee baba yangu kijumba' wakati huo huo wewe ukitaka kutuma hela ya chumvi kwa mama yako kijijini ni msala wa ajabu. Kawaida huwa tunahakikisha wake zetu hawajui ni kiasi gani unapata na kiasi gani kipo MPesa maana Benki hatuna uwezo wa kuwa na account. Hata hela yake ukitaka kuitumia itumie kiakili ila usimuulize anapata kiasi gani na Benki ana kiasi gani. Hapo maisha yanasonga
Waungwana natumaini kuwa mu wazima!
Twende kwenye mada, familia nyingi Afrika ziko kwenye mgogoro au kamgogoro, na migogoro hii husababishwa hasa na mambo ya fedha au mapenzi nje ya mahusiano(cheating).
Sasa hapa ninatoa tiba ya mgogoro unaosababishwa na mambo ya kifedha.
Kulingana na kipato chako ewe mwanaume unaweza kuitafuta fedha ambayo kwa level yenu ya maisha itaonekana ni kubwa. Ichukue mpe mkewe atunze, mwambie itunze ninà kazi nayo.
Ukimpa kama milioni 5, 4,3 au hata laki tano akutunzie moyo wake unakuwa mweupe.
Hii style ina faida zake, ikumbukwe wanawake wana forecast nzuri ya kuona jambo zuri ambalo akikushauri ufanye utapata faida kubwa.
Usiwe dictator kwenye masuala ya fedha, kuwa muwazi ingawa usiwe muwazi kupitiliza.
ila haijasema tuwape hela,tofautisha hapoNaunga mkono hoja, vitabu vya dini vinasema tuishi na wanawake kwa akili,