Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,510
Ngoja niwe mpenzi msomaji.
Itakuwa huna nguvu za kiume.Ukiwa una nguvu za kiume huna haja ya kumbembeleza mwanamke.Nimejifunza kitu ndugu zangu,
Mwanamke sio mtu wa kumbembeleza kabisa, Zamani nilikuwa mtu ambaye nilikuwa na maisha ya furaha si kujua kubembeleza mwanamke nilikuwa na tongoza saana na Nili kuwa na kimbiwa na wanawake saana.
Na wote sababu yao ili kuwa moja tu eti mimi ni mkali Maana si kujua yale mapenzi ya kwenye video kabisa eti ukizinguwa ni kudekeze kwa maneno Kama mtoto mdogo ili kesho yake husikosehe Tena. Marafiki walinishauri eti una kosea mwanamke anatakiwa ufanye ivi ili akupende saana.
Ndugu zangu nilijaribu njia zao. Nika penda kadada kamoja ivi kalitaka kunitowa roho jinsi ninavyo jibembeleza kwake naye ndo kanazidi kupanda chat. Kalikuwa Kanasumbuwa akili yangu mpaka basi. Nimeshindwa nimekatukana Leo ivi na tumeachana. Ndugu zangu ninyi munawezaje kabisa kujibembeleza kwa mwanamke.
Eti wakubwa mna jukwaa lenu!?Naona dalili za utoto kwenye haka kathread
Ngoja nisepe