Mwanamke serios anaitajika

Mwanamke serios anaitajika

Naitwa jack umri wang miaka 32 natafuta mwanamke tuwe na mahusiano badae ndoa umri kuanzia miaka 26 mpaka 35 awe ameajiriwa.kwa aliye tayari karibu pm
Ngoja nmuulize wa kwangu kama anakubali transfer. Sema jiandae kupigiwa simu kila baada ya 1 hour hata saa 5 usiku.
 
Hawataki shida za ukoo
Ndoa Zina mengi zaidi ya mtu kuwa au kutokuwa na Ajira.

Mara nyingi utaweza kuishi na asiye na ajira. Ila vitabia ambavyo huwa tunaviona havina uzito Kama uongo, heshima, utu, uchafu, uvivu, kupenda kutoka nje ya mahusiano, mtu anavyopenda au asivyopenda ndivyo vyanzo vikuu kuvurugika kwa mahusiano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom