Kaka unazijua pesa za mwanamke weyeWala chitaji mshahara wake maisha kusaidiana
Mim sina kiburiWatakufata pm ila hapa utaambulia majeuri na viburi
Nimwambie ukweli mtoa mada au nimuache?Mim sina kiburi
Dah.....ushafeli tayari 🤣🤣🤣🤣Wala chitaji mshahara wake maisha kusaidiana
Ila jamani sipendi mwanaume mleviiNimwambie ukweli mtoa mada au nimuache?
Sio wewe tuliyepelekana mpka kwa mtendaji usiku usiku kisa nilikuwa nimelewa😀
Mwanaume ambaye hanywi nazani ni mtoa mada tuIla jamani sipendi mwanaume mlevii
Kwa hiyo unanionea wivu unataka kuniharibia
😂😂😂 basi nioe weweMwanaume ambaye hanywi nazani ni mtoa mada tu
Wewe unywe yeye asinywe
Hapana sikuharibii
Si tulipeana talaka majuzi tu?😂😂😂 basi nioe wewe
Hahah mahusiano Tanzania yamekuwa issue mpaka mpaka mtu anakosea kuandika. Angalia umri wake lazima achanganyikiweRas simba aione hii