She is sooooooo beautifulShe is very cute even at her 100th
Haha hahah hahaah hilo pepo chafu likuachieMmeshaanza kumtamani kibibi cha watu ?
Duh...Ana mchumba?
Kama yupo single Kambi ya Fisi nitamchukua kanivutia wallahDuh...
Huyu ni mke wa Simba MkaliKama yupo single Kambi ya Fisi nitamchukua kanivutia wallah![]()
Kwa speed ya ndege hivo vitu ni negligible mkuu.When you are flying, zile miaka za angani, by principles of relativity na second & third law of thermodynamic, huwa zinastop ama zinamove anticlockwise ama zinaakselereti (serereka?!); so, hapo akihesabiwa miaka yake ambayo actually amekuwepo duniani, tofauti na fying hours angani, anakuwa a lady of just 40 ama 50 years. (Schrödinger's Wave equation & Uncertainty Principle vinahusika pia, kwa wale ambapo wangependa kufanya calculations).
Sasa nimeamini ule msemo usemwao hata bibi alikua binti.
Kwa speed ya ndege hivo vitu ni negligible mkuu.
Kama yupo single Kambi ya Fisi nitamchukua kanivutia wallah![]()
Hii theory amewahi kuisema kimafumbo mzee wa E = mc^2When you are flying, zile miaka za angani, by principles of relativity na second & third law of thermodynamic, huwa zinastop ama zinamove anticlockwise ama zinaakselereti (serereka?!); so, hapo akihesabiwa miaka yake ambayo actually amekuwepo duniani, tofauti na fying hours angani, anakuwa a lady of just 40 ama 50 years. (Schrödinger's Wave equation & Uncertainty Principle vinahusika pia, kwa wale ambapo wangependa kufanya calculations).
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us