Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Waschana, wadada, wamama na wabibi wataoweza.... mwanamke nyonga eehh
Kigagula mie ukinitoboa kidoleni itatoka damu na sauti ya mziki, napenda mziki kuliko maelezo. Wengi humu wanasema mie sio mzee siwezi kuwa umri umeenda na nina swaga za ki dot com. Iko hivi kuna usemi unasema, ''You are what you eat, speak and believe''. I like eating, I speak Mahaba and Music most of time and I believe in Love.... uuuh Kaatikaakatii uuuhhh katikaaakatiika ladies katikaakatiiika......

Pamoja na kuwa umri umeenda naweza nikalisakata rhumba kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri bila kuweka mguu chini, sio tuu ya sababu kuwa mizigo mizito anatwikwa Mnyamwezi, bali I feel the music deep inside my soul.

Hapa mzuka wa mziki umenijaa hadi pomoni, naweza fananisha na wanaume wanapokuwa kichupa kimejaa wanataka kumwaga manii, yaani ni hadi wamwage ndo wanajiskia uuhhhh sasa na mie hapa leo hapalaliki hadi kieleweke huko dancing floor. Na ntapokuwa hata ikiwa nimpe DJ a token aweze uweke huu wimbo mara kadhaa nizungushe hizoo mwanamke nyonga hehehehehehee katiikaaa katiiika uuuh katikaaa katiikaa.....

Haya wamama, wadada, waschana na vibibi tushuke wote hapo chini tulisakate rhumba, wanaume mtusindikize kwa pembeni ila kubashia hairuhusiwi tafadhali.... hata kama ni demu wako hadi tumalize kulisakata rhumba.


Nina midadi kaa rhumba
Kibao kata kinyongaa


Kasie oohoohohh wananikoshaga oohoohoooh
Ananisimamiaga de de de de
Nami namtingishiaga wo wo wo wo (Joyce Wo Wo Wo)

Kasie, am dancing for Dadii in a one time
Kiuno feni kunata...
Najifunga na ngata
Maalum kwa kibao kataa (wuuuhuuuuu)


Haya ladie twende pamojaa.....

Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa

Jamani kukatika sio lazima uwe na tako au hips, nyonga ndo mpango mzima hehehh
Kama kiuno kigumu kama cha Kasie basi ikifika hapo pa kukatika unainama kidogo halafu unakipeleka kiuno kulia na kushoto. Vikichanganya unaongeza kupeleka kiuno mbele na nyuma, yaani kulia, mbele, kushoto halafu nyumba. Unarudia haraka haraka hadi midadi inapanda yenyewee.

Hapa Kasie niko ndii, niko ndiindiindiii (hehehehehehehehee....hatariii)
Nimekazika nywiinwyiinwyiii ila sasa nyuma niko bwiii, niko bwiibwiibwiii (hehehehee nimepigwa pasi hatarii)
Hhahahahaha nina misifa ka'nshomilee..... ka' sha' ngiingiingiii

Aliniviziaga tangu kitambooo, nikanasa kwake kwenye chamboo (Dadii)
Akanipakia na mgamdooo..... (ya ndiindiindii)
Kachekecha bila ramboo uuuhhh

Japo sijachezwa ngomani sindimba lizombeee
Naye ananipatia za ......... muhogo wa jang'ombe....

Jamani nishikeni eeh eeh eeeh
Namkoshaga roohoo ooohoooh
Mpaka ananisamia dee dee dee dee dee
Kisha namtingishiaga Woo Woo Woo Woo (Joyce Wo Wo Wo)

Oooh yeah hadi nione hawezi kutembea hehehehehhehehee (asikwambie mtu ni raha sana mkielewana) wapi Dadiiiiiiiii......
Chee chee chee ana cheecheemeaa, hadi analegeaa eehehehehehehhee wuuuhuuuuuuu ladiess mpoooooo....

Hapo sasa, huku ukinengua na kuringa....

Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa (wanaume hakuna kubashia mmeze matee tuu tukiwa tunakatika)

This is ladies free like a molecule, shake your booty...

(Naendelea tena kiranja mkuuu hapa)

Utamu nausikilizia, mwiba ukizama nahisi napaa
Utamu naung'ang'ania, ndizi kwa nyama napata mchechetoo
(Hheheheheheheee jamaniiii loooh, kweli Kasie Mahaba, Kasie Matata)

Nakuna nazi kwa mkongojoo, naunga mchuzi wa .........
Ulo na rosti rojorojoo, nikonjo flani ya Iwee Boojooo......... (mambo ya kateee)
Kivao kata teenteeme tenteemee
Kilingeni kuzama shurtu uchutameee (na miguu uachamee yeeebaaaaah aahahahhaaa)
Huwezi pata ni mpaka usimamee, haichagui mwembamba mnene....



Katikaaakatiika katikaaktaiiika....

(haya wale wenzangu na mie wanene hakuna kujitetea hapa mshaambiwa haichagui)

That is Kasie Katika Remix, dancing floor ndo ndo hiyo hapo, nyonga haziazimwiii jamani shurti kujishughulisha.

Happy Hump Day!!😉

K' Matata.







Utamu
 
Waschana, wadada, wamama na wabibi wataoweza.... mwanamke nyonga eehh
Kigagula mie ukinitoboa kidoleni itatoka damu na sauti ya mziki, napenda mziki kuliko maelezo. Wengi humu wanasema mie sio mzee siwezi kuwa umri umeenda na nina swaga za ki dot com. Iko hivi kuna usemi unasema, ''You are what you eat, speak and believe''. I like eating, I speak Mahaba and Music most of time and I believe in Love.... uuuh Kaatikaakatii uuuhhh katikaaakatiika ladies katikaakatiiika......

Pamoja na kuwa umri umeenda naweza nikalisakata rhumba kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri bila kuweka mguu chini, sio tuu ya sababu kuwa mizigo mizito anatwikwa Mnyamwezi, bali I feel the music deep inside my soul.

Hapa mzuka wa mziki umenijaa hadi pomoni, naweza fananisha na wanaume wanapokuwa kichupa kimejaa wanataka kumwaga manii, yaani ni hadi wamwage ndo wanajiskia uuhhhh sasa na mie hapa leo hapalaliki hadi kieleweke huko dancing floor. Na ntapokuwa hata ikiwa nimpe DJ a token aweze uweke huu wimbo mara kadhaa nizungushe hizoo mwanamke nyonga hehehehehehee katiikaaa katiiika uuuh katikaaa katiikaa.....

Haya wamama, wadada, waschana na vibibi tushuke wote hapo chini tulisakate rhumba, wanaume mtusindikize kwa pembeni ila kubashia hairuhusiwi tafadhali.... hata kama ni demu wako hadi tumalize kulisakata rhumba.


Nina midadi kaa rhumba
Kibao kata kinyongaa


Kasie oohoohohh wananikoshaga oohoohoooh
Ananisimamiaga de de de de
Nami namtingishiaga wo wo wo wo (Joyce Wo Wo Wo)

Kasie, am dancing for Dadii in a one time
Kiuno feni kunata...
Najifunga na ngata
Maalum kwa kibao kataa (wuuuhuuuuu)


Haya ladie twende pamojaa.....

Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa

Jamani kukatika sio lazima uwe na tako au hips, nyonga ndo mpango mzima hehehh
Kama kiuno kigumu kama cha Kasie basi ikifika hapo pa kukatika unainama kidogo halafu unakipeleka kiuno kulia na kushoto. Vikichanganya unaongeza kupeleka kiuno mbele na nyuma, yaani kulia, mbele, kushoto halafu nyumba. Unarudia haraka haraka hadi midadi inapanda yenyewee.

Hapa Kasie niko ndii, niko ndiindiindiii (hehehehehehehehee....hatariii)
Nimekazika nywiinwyiinwyiii ila sasa nyuma niko bwiii, niko bwiibwiibwiii (hehehehee nimepigwa pasi hatarii)
Hhahahahaha nina misifa ka'nshomilee..... ka' sha' ngiingiingiii

Aliniviziaga tangu kitambooo, nikanasa kwake kwenye chamboo (Dadii)
Akanipakia na mgamdooo..... (ya ndiindiindii)
Kachekecha bila ramboo uuuhhh

Japo sijachezwa ngomani sindimba lizombeee
Naye ananipatia za ......... muhogo wa jang'ombe....

Jamani nishikeni eeh eeh eeeh
Namkoshaga roohoo ooohoooh
Mpaka ananisamia dee dee dee dee dee
Kisha namtingishiaga Woo Woo Woo Woo (Joyce Wo Wo Wo)

Oooh yeah hadi nione hawezi kutembea hehehehehhehehee (asikwambie mtu ni raha sana mkielewana) wapi Dadiiiiiiiii......
Chee chee chee ana cheecheemeaa, hadi analegeaa eehehehehehehhee wuuuhuuuuuuu ladiess mpoooooo....

Hapo sasa, huku ukinengua na kuringa....

Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa (wanaume hakuna kubashia mmeze matee tuu tukiwa tunakatika)

This is ladies free like a molecule, shake your booty...

(Naendelea tena kiranja mkuuu hapa)

Utamu nausikilizia, mwiba ukizama nahisi napaa
Utamu naung'ang'ania, ndizi kwa nyama napata mchechetoo
(Hheheheheheheee jamaniiii loooh, kweli Kasie Mahaba, Kasie Matata)

Nakuna nazi kwa mkongojoo, naunga mchuzi wa .........
Ulo na rosti rojorojoo, nikonjo flani ya Iwee Boojooo......... (mambo ya kateee)
Kivao kata teenteeme tenteemee
Kilingeni kuzama shurtu uchutameee (na miguu uachamee yeeebaaaaah aahahahhaaa)
Huwezi pata ni mpaka usimamee, haichagui mwembamba mnene....



Katikaaakatiika katikaaktaiiika....

(haya wale wenzangu na mie wanene hakuna kujitetea hapa mshaambiwa haichagui)

That is Kasie Katika Remix, dancing floor ndo ndo hiyo hapo, nyonga haziazimwiii jamani shurti kujishughulisha.

Happy Hump Day!!😉

K' Matata.







Utamu

hii ndio katika yenyewe
 

Attachments

Wewe ni mimi wa miaka 20 mbele,hata nikizeeka sitajali ili mradi kukatika kupo damuni basi ntakatika mpaka kiuno kiitike abeeee hehehhee

Kamekazika ndiiii ndiiiiii hahha
 
Waschana, wadada, wamama na wabibi wataoweza.... mwanamke nyonga eehh
Kigagula mie ukinitoboa kidoleni itatoka damu na sauti ya mziki, napenda mziki kuliko maelezo. Wengi humu wanasema mie sio mzee siwezi kuwa umri umeenda na nina swaga za ki dot com. Iko hivi kuna usemi unasema, ''You are what you eat, speak and believe''. I like eating, I speak Mahaba and Music most of time and I believe in Love.... uuuh Kaatikaakatii uuuhhh katikaaakatiika ladies katikaakatiiika......

Pamoja na kuwa umri umeenda naweza nikalisakata rhumba kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri bila kuweka mguu chini, sio tuu ya sababu kuwa mizigo mizito anatwikwa Mnyamwezi, bali I feel the music deep inside my soul.

Hapa mzuka wa mziki umenijaa hadi pomoni, naweza fananisha na wanaume wanapokuwa kichupa kimejaa wanataka kumwaga manii, yaani ni hadi wamwage ndo wanajiskia uuhhhh sasa na mie hapa leo hapalaliki hadi kieleweke huko dancing floor. Na ntapokuwa hata ikiwa nimpe DJ a token aweze uweke huu wimbo mara kadhaa nizungushe hizoo mwanamke nyonga hehehehehehee katiikaaa katiiika uuuh katikaaa katiikaa.....

Haya wamama, wadada, waschana na vibibi tushuke wote hapo chini tulisakate rhumba, wanaume mtusindikize kwa pembeni ila kubashia hairuhusiwi tafadhali.... hata kama ni demu wako hadi tumalize kulisakata rhumba.


Nina midadi kaa rhumba
Kibao kata kinyongaa


Kasie oohoohohh wananikoshaga oohoohoooh
Ananisimamiaga de de de de
Nami namtingishiaga wo wo wo wo (Joyce Wo Wo Wo)

Kasie, am dancing for Dadii in a one time
Kiuno feni kunata...
Najifunga na ngata
Maalum kwa kibao kataa (wuuuhuuuuu)


Haya ladie twende pamojaa.....

Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa

Jamani kukatika sio lazima uwe na tako au hips, nyonga ndo mpango mzima hehehh
Kama kiuno kigumu kama cha Kasie basi ikifika hapo pa kukatika unainama kidogo halafu unakipeleka kiuno kulia na kushoto. Vikichanganya unaongeza kupeleka kiuno mbele na nyuma, yaani kulia, mbele, kushoto halafu nyumba. Unarudia haraka haraka hadi midadi inapanda yenyewee.

Hapa Kasie niko ndii, niko ndiindiindiii (hehehehehehehehee....hatariii)
Nimekazika nywiinwyiinwyiii ila sasa nyuma niko bwiii, niko bwiibwiibwiii (hehehehee nimepigwa pasi hatarii)
Hhahahahaha nina misifa ka'nshomilee..... ka' sha' ngiingiingiii

Aliniviziaga tangu kitambooo, nikanasa kwake kwenye chamboo (Dadii)
Akanipakia na mgamdooo..... (ya ndiindiindii)
Kachekecha bila ramboo uuuhhh

Japo sijachezwa ngomani sindimba lizombeee
Naye ananipatia za ......... muhogo wa jang'ombe....

Jamani nishikeni eeh eeh eeeh
Namkoshaga roohoo ooohoooh
Mpaka ananisamia dee dee dee dee dee
Kisha namtingishiaga Woo Woo Woo Woo (Joyce Wo Wo Wo)

Oooh yeah hadi nione hawezi kutembea hehehehehhehehee (asikwambie mtu ni raha sana mkielewana) wapi Dadiiiiiiiii......
Chee chee chee ana cheecheemeaa, hadi analegeaa eehehehehehehhee wuuuhuuuuuuu ladiess mpoooooo....

Hapo sasa, huku ukinengua na kuringa....

Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa
Katikaaakatikaa (wanaume hakuna kubashia mmeze matee tuu tukiwa tunakatika)

This is ladies free like a molecule, shake your booty...

(Naendelea tena kiranja mkuuu hapa)

Utamu nausikilizia, mwiba ukizama nahisi napaa
Utamu naung'ang'ania, ndizi kwa nyama napata mchechetoo
(Hheheheheheheee jamaniiii loooh, kweli Kasie Mahaba, Kasie Matata)

Nakuna nazi kwa mkongojoo, naunga mchuzi wa .........
Ulo na rosti rojorojoo, nikonjo flani ya Iwee Boojooo......... (mambo ya kateee)
Kivao kata teenteeme tenteemee
Kilingeni kuzama shurtu uchutameee (na miguu uachamee yeeebaaaaah aahahahhaaa)
Huwezi pata ni mpaka usimamee, haichagui mwembamba mnene....



Katikaaakatiika katikaaktaiiika....

(haya wale wenzangu na mie wanene hakuna kujitetea hapa mshaambiwa haichagui)

That is Kasie Katika Remix, dancing floor ndo ndo hiyo hapo, nyonga haziazimwiii jamani shurti kujishughulisha.

Happy Hump Day!!😉

K' Matata.







Utamu

Jipe rahaa,maisha yenyewe mafupi.....
 
Kuna uzi nimeona alikuwa anarushiana tongozo na mzee baba mmoja wa humu juzi
 
Hahahahah wewe kama mie ingawa bado binti ila nakatika sana
Nacheza miziki yote kasoro vogodolo
Dancehall reggae blues bongoflava etc usiseme,inshort nakata mauno sana
Mwanamke nyonga bana hahahahah
 
Kassie sikiwezagi kuna kipindi uliimbaga hiv hiv nikajikuta kichupa kinataka kumwaga
 
duh aise mnisaidie sijaelewa ni nini hicho ushairi au riwaya au tamthiliya? ila kama una uno kama boko kazi unayo kwenye kukatika mana utakata tumbo badala ya uno ila wale wenye uno la nyigu hapo wanateleza tuu shwaaa....!
 
Mi nikajua unatupiamo na kavideo ka miuno yako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom