safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,314
- 18,146
- Thread starter
- #521
Mkuu unaandika vitu vingi kazi kusoma.Mkuu Safuher, mada yako inasema; "MWANAMKE NI CHOMBO CHA STAREHE"----- labda uniambie leo umetunga methali yako mpya ya kiswahili kuhusu wanawake kama methali ya mke ni jiko.
Methali ya mke ni jiko ilikujaje??, ilikuja kutokana na mazingira ya wanaume wanapokosa wake basi huwa wanakula sehemu mbalimbali na mara wanapopata wake basi uhakika wa kupata chakula nyumbani unakuwa ni mkubwa kwakuwa huyo mke atakuwa akimpikia huyo mume ndio maana mke akaitwa "jiko"--- katika hiyo methali yako umesema mwanamke ni CHOMBO na mbaya zaidi ukaongeza maneno "CHA STAREHE", hivi ni mwanamke gani hata changudoa ukimwita yeye ni chombo cha starehe atakubali??!!.
Ukishasema neno "mwanamke ni chombo cha starehe", hiyo ni hatua ya mwanzo kabisa ya UDHALILISHAJI kwa wanawake, yaani hapo umamfanya mwanamke kama ni chombo chako cha matumizi yoyote uyapendayo na hiyo imekuwa ni njia moja ya kudhalilisha wanawake katika jamii.
Mwanamke chombo cha starehe, ni sawa na useme COMFORT WOMAN, sasa angalia maana ya comfort woman;
"A woman or girl forced into being sex slave".
Mimi naomba wanawake wa humu jf waje wajitetee wenyewe tuwasikie wanasemaje!!!?,
faiza Foxy, Sky Eclat nk. Njooni huku mnisaidie kwani nyie ndio wahusika zaidi.
Lengo langu nimeandika.
Nakuuliza tena kwa mujibu wa nani ati ukisema chombo ni kudhalilisha ?
Kama ni common sense nikakuuliza kama mimi common sense yangu haisemi hivyo unasemaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app