jamani bidada
Stumai pole kwa majibu ya baadhi ya wanajamvi, ila tu nikutie moyo wanawake wengi sana huwa hawafikii climax na hii inasababishwa na mambo mengi sana. sipendi kuyarudia manake haya yalisha jadiliwa sana hapa jamvini ila tu kwakuwa umeweka msisitiza wa nini mwanamke afanye ili afike naomba nikwambie hivi:-
Jishighulishe ma dia hangaika mpaka upate pozi lako ambalo litakufikisha. nisemapo hangaika simaanishi piga za kichina china ma katika na kuvibrate kwa sana no. Namaanisha kuwa hangaika sana kwa kuweka hisia zako zote katika tendo husika tena mawazo yako uyavutie pale kwenye tendo lenyewe. Vuta hisia zako kwa ndani kabisa mpaka uone moyo wako, akili yako,iko na inatamania kufika hapo. Wakati ukiwa unafanya hivyo utagundua kuwa kuna maeneo mengine ukiguswa unapata hisia za raha sana, maeneo haya utamu wake huwa ni wenye raha iliyopitiliza ambayo hutotaka mwenzi wako atoke hapo.
ukisha ya tambua hayo maeneo basi mweleze kwamba hapo ndipo panapo utamu wako na kwamba aendelee asiachie hapo ila pia na awe ni kwa taratibu siyo kwa kutumia nguvu.
unapovuta hisia zako ziingize kwenye akili yako ili hata homone husika na damu ielekezwe kwenye hiyo action. jitahd usimtoe mwenzio kabla ama asitoke kabla, pia uwe na ujuzi wa kumfanya yeye aendelee kukupadozi like unamsifia kwa utamu unaoupata huku ukimbembeleza sema kimahaba mpendwa haswa yale maneno yetu ya chumbani.
mengine siwez kuyaeka hapa manake nitawakuza wanaangu na wadogo zangu humu.