MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,754
Habarini wakuu,
Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu
Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS
Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"
Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi
Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?
Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu
Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS
Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"
Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi
Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?
Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake
Sent using Jamii Forums mobile app