Mwanamke mwenye shahada ya Uzamili anayefanya biashara ya Makande jijini Mwanza awe chachu kwa Wasomi nchini

MUSHEKY

JF-Expert Member
May 9, 2014
2,812
2,753
Habarini wakuu,

Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu

Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS

Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"

Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi

Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?

Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,

Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu

Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS

Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"

Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi

Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?

Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,

Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu

Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS

Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"

Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi

Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?

Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Habarini wakuu,

Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu

Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS

Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"

Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi

Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?

Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nancy Lema.... Ok

Nancy Lema ana Masters degree...

.... afu anapika makande. Asante kwa taarifa.

naona umemzungumzika utadhani wote tunamfahamu
 
Nancy Lema.... Ok

Nancy Lema ana Masters degree...

.... afu anapika makande. Asante kwa taarifa.

naona umemzungumzika utadhani wote tunamfahamu
Mkuu yeye Nancy hakua topic kubwa kwenye bandiko langu

My take ilkua ni nini anachokifanya na kina impact gani kwa watu wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,

Si kwamba dada Nancy Lema mkazi wa Mwanza amefanya jambo la ajabu sana, lahasha!! Ila angalau amewafuta tongotongo wasomi wengine nchini wenye level za shahada kuendelea ambao kwao neno kukosa ajira rasmi za kuajiriwa na serikali au kampuni kwao ilikua na maana kwamba usomi wao wote ni BURE na si malikitu

Neno SPECIALIZATION ama kujikita kwenye taaluma moja maalum ambayo ndio dhana inayotawala kwenye mfumo wa elimu yetu ya juu ndiko kulikofanya wasomi wetu wakikosa kuzitumikia zile kada walizo specialize basi hujiona wao ni USELESS

Waliowengi husahau kua ubongo wao unaweza kufanya mamilioni ya mambo nje ya yale waliyospecialize kwenye elimu zao ambazo zina kila harufu ya utumwa wa kikoloni "educate africans for using them in white colar jobs"

Wito wangu kwa watanzania wanaojiita wasomi, umefika muda saa kwa sisi kutupa ujinga tuliolishwa mashuleni kwa miaka kadhaa na kuanza kuzitumia akili zetu halisi kutatua matatizo yetu ya kila siku hasa ya kiuchumi

Niliwahi kumsikia msanii mmoja akisema "hivi hesabu ya vipeo na vipeuo vinamsaidia nini dereva wa boda boda"?

Ni wakati sasa kwa watanzania wenzangu ku deal na hizo wanazoziita INFORMAL EDUCATION ambazo kwa wenzetu walioamua kua serious na kuzitumia kama uingereza, India na Uchina wameshaanza kufaidi matunda yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wote tukauze makande?
 
Huyo atakua na bidhaa ingine unayowezapata zaidi ya makande ndio maana anaingia ofisi mbalimbali na kukubalika
 
Watu tumetembeza chapati mtaani pamoja na kuwa na shahada,si ajabu yeye kuuza makande tena kwny maofisi makubwa
 
Back
Top Bottom