Mwanamke mwenye mtoto

Likundumbwii

Member
Jun 21, 2019
7
5
Habari zenu hapa wandugu kwa wakubwa na Wadogo. Wandugu nimekuja hapa naomba ushauri kwa huyu binti ambae nimetokea kumpenda na kuwaza Kuishi Nae. Ni binti wa Makamo ambae aliachishwa kuendelea na chuo cha uwalimu wa Prmary kutokana na kupatiwa ujauzito na kijana mmoja ambae nae alikua katika masomo katika Mkoa Husika Anakoishi huyu binti na kisha kumkimbia kwa kurudi makwao. Binti akajifungua na sasa Mtoto yupo na Miez 8 na anasumbuliwa na kifua ivo upelekea kuhitaji matibabu mara kwa mara. Siku Moja Katika Safari za kikazi katika kituo cha Afya kimoja nikakutana na huyu binti katika salamu salamu za hapa na pale nikamgundua binti hawaamini wanaume, Kwakua ilikua Ameenda kupata matibabu namimi si mkaaji pale nikampatia Namba Zangu Katika Karatasi kwani Hana simu.Ni mwezi sasa Amenitafuta jana na Leo nimeonana nae Na meengi kunieleza Kwani hata kwao Kwa sasa n kama Ananyanyaswa kwa kukosa huduma stahiki(Anavosema). Katoto ni kazuri na mwenye furaha niko tayari kumpokea kwa hari alionayo na tulee uyu mtoto Mpaka umri sahihi apatiwe Nduguzo Na Mengineyo atatimiziwa. Naombeni ushauri Wandugu kwa huu Upendo Wangu kwa huyu Dada. Maswali ninajibu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama umempenda mchunguze vizuri ukiridhika fuata taratibu usije ukamzalisha tena na kumuacha.
Watakuja wanaume wenzio hapa kujifanya wanachukia na kuponda single mothers, wakati ndo hao hao wenye tabia za kuzalisha na kuacha.
 
Kama umeamua kumchukua mwanamke na umempenda sawa, lkn kuna changamoto ambazo badae lzm utaziona, kwa mfano mwanamke kuonana na mzazi mwenzake huwezi zuia, hapo tyr wameshaunganisha damu wewe huwezi tengua.

Kuishi nae sio shida na kulea damu isiyo yako pia kuna ugumu wake, unaweza kubali kinadharia lkn ukiingia ndan ya ndoa utajionea mwenyewe ugumu wa kuishi na damu isiyo yako, mchukue tu mkuu lkn ujiandae kiakili kukutana na changamoto kwa kuwa ni single mother, mchungaj wangu aliwa kunambia, "oa mwanamke kwa kuwa unampenda ila usioe kwa kuwa unamuonea huruma"

Mkuu changanya akili kisha uitumie, waswahili pia husema wajinga wasingekuwa wanaenda sokoni, bidhaa mbovu zisingekuwa zinauzwa. Kila la kheri Likundumbwii
 
Asante sana ndugu.
Kama umeamua kumchukua mwanamke na umempenda sawa, lkn kuna changamoto ambazo badae lzm utaziona, kwa mfano mwanamke kuonana na mzazi mwenzake huwezi zuia, hapo tyr wameshaunganisha damu wewe huwezi tengua.

Kuishi nae sio shida na kulea damu isiyo yako pia kuna ugumu wake, unaweza kubali kinadharia lkn ukiingia ndan ya ndoa utajionea mwenyewe ugumu wa kuishi na damu isiyo yako, mchukue tu mkuu lkn ujiandae kiakili kukutana na changamoto kwa kuwa ni single mother, mchungaj wangu aliwa kunambia, "oa mwanamke kwa kuwa unampenda ila usioe kwa kuwa unamuonea huruma"

Mkuu changanya akili kisha uitumie, waswahili pia husema wajinga wasingekuwa wanaenda sokoni, bidhaa mbovu zisingekuwa zinauzwa. Kila la kheri Likundumbwii
 
Kama umeamua kumchukua mwanamke na umempenda sawa, lkn kuna changamoto ambazo badae lzm utaziona, kwa mfano mwanamke kuonana na mzazi mwenzake huwezi zuia, hapo tyr wameshaunganisha damu wewe huwezi tengua.

Kuishi nae sio shida na kulea damu isiyo yako pia kuna ugumu wake, unaweza kubali kinadharia lkn ukiingia ndan ya ndoa utajionea mwenyewe ugumu wa kuishi na damu isiyo yako, mchukue tu mkuu lkn ujiandae kiakili kukutana na changamoto kwa kuwa ni single mother, mchungaj wangu aliwa kunambia, "oa mwanamke kwa kuwa unampenda ila usioe kwa kuwa unamuonea huruma"

Mkuu changanya akili kisha uitumie, waswahili pia husema wajinga wasingekuwa wanaenda sokoni, bidhaa mbovu zisingekuwa zinauzwa. Kila la kheri Likundumbwii
Ushakuja kumtia woga mwenzio
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hongera Mkuu ukiamua kumuoa badili jina la mwisho la huyo mtoto liwe la kwako ili kuondoa usumbufu kutoka kwa huyo punguani. Usisahau mrejesho wa lolote utakaloamua.

Habari zenu hapa wandugu kwa wakubwa na Wadogo. Wandugu nimekuja hapa naomba ushauri kwa huyu binti ambae nimetokea kumpenda na kuwaza Kuishi Nae. Ni binti wa Makamo ambae aliachishwa kuendelea na chuo cha uwalimu wa Prmary kutokana na kupatiwa ujauzito na kijana mmoja ambae nae alikua katika masomo katika Mkoa Husika Anakoishi huyu binti na kisha kumkimbia kwa kurudi makwao. Binti akajifungua na sasa Mtoto yupo na Miez 8 na anasumbuliwa na kifua ivo upelekea kuhitaji matibabu mara kwa mara. Siku Moja Katika Safari za kikazi katika kituo cha Afya kimoja nikakutana na huyu binti katika salamu salamu za hapa na pale nikamgundua binti hawaamini wanaume, Kwakua ilikua Ameenda kupata matibabu namimi si mkaaji pale nikampatia Namba Zangu Katika Karatasi kwani Hana simu.Ni mwezi sasa Amenitafuta jana na Leo nimeonana nae Na meengi kunieleza Kwani hata kwao Kwa sasa n kama Ananyanyaswa kwa kukosa huduma stahiki(Anavosema). Katoto ni kazuri na mwenye furaha niko tayari kumpokea kwa hari alionayo na tulee uyu mtoto Mpaka umri sahihi apatiwe Nduguzo Na Mengineyo atatimiziwa. Naombeni ushauri Wandugu kwa huu Upendo Wangu kwa huyu Dada. Maswali ninajibu.
 
Habari zenu hapa wandugu kwa wakubwa na Wadogo. Wandugu nimekuja hapa naomba ushauri kwa huyu binti ambae nimetokea kumpenda na kuwaza Kuishi Nae. Ni binti wa Makamo ambae aliachishwa kuendelea na chuo cha uwalimu wa Prmary kutokana na kupatiwa ujauzito na kijana mmoja ambae nae alikua katika masomo katika Mkoa Husika Anakoishi huyu binti na kisha kumkimbia kwa kurudi makwao. Binti akajifungua na sasa Mtoto yupo na Miez 8 na anasumbuliwa na kifua ivo upelekea kuhitaji matibabu mara kwa mara. Siku Moja Katika Safari za kikazi katika kituo cha Afya kimoja nikakutana na huyu binti katika salamu salamu za hapa na pale nikamgundua binti hawaamini wanaume, Kwakua ilikua Ameenda kupata matibabu namimi si mkaaji pale nikampatia Namba Zangu Katika Karatasi kwani Hana simu.Ni mwezi sasa Amenitafuta jana na Leo nimeonana nae Na meengi kunieleza Kwani hata kwao Kwa sasa n kama Ananyanyaswa kwa kukosa huduma stahiki(Anavosema). Katoto ni kazuri na mwenye furaha niko tayari kumpokea kwa hari alionayo na tulee uyu mtoto Mpaka umri sahihi apatiwe Nduguzo Na Mengineyo atatimiziwa. Naombeni ushauri Wandugu kwa huu Upendo Wangu kwa huyu Dada. Maswali ninajibu.


Elimu yetu inahitaji overhaul
 
Nina mdogo wangu nae alimpenda binti ambaye Ana mtoto tyr,wajomba walimuonya Sana lakini hakuelewa.mwisho wakamwambia oa,kilichokuja kutokea ni mwanamke kuanza mawasiliano na mzazi mwenzie hata mbele yake wanawasiliana.Dogo akamwambia biashara zangu zinaenda mrama ngoja niende jiji la makonda nkaangalie ustaarabu ntarudi baada ya kipindi flan.hadi wakwe wakaagwa kwa heshima kabisa.dogo kuchomoka ndo mazima.hajarudi huu mwaka wa 3.mengine naachia akili yako muomba ushauri.
 
Dah mkuu me nakushauri usioe kwanza lkn muhudumie kama wa kwako vile, kaa nae angalau mwaka upite ili kuangalia kama kuna jini kisirani atajitokeza kwa wakati huo maana inawezekana huyo dada hakupendi lkn kwa kuwa anahitaji msaada wako ata-behave innocent kadiri awezavyo huku akikuonesha kila aina ya upendo .
 
Dah mkuu me nakushauri usioe kwanza lkn muhudumie kama wa kwako vile, kaa nae angalau mwaka upite ili kuangalia kama kuna jini kisirani atajitokeza kwa wakati huo maana inawezekana huyo dada hakupendi lkn kwa kuwa anahitaji msaada wako ata-behave innocent kadiri awezavyo huku akikuonesha kila aina ya upendo .
Asante sana Mr.wenger
 
Utashuariwa mengi, ila ukweli ni kwamba hawajaachana na baba mtoto ni uwezo tu ndiyo umewaweka mbali...

Kama unamsadia sawa, usije sema hujaambiwa...


Cc: mahondaw
 
Kaka hapo akili kumkichwa kwanza utuambie huyo mwanamke alikwambia mawasiliano na huyo kijeba wake ukoje mana hawa wanawake wasikuhizi ni mafundi sana Wa kuigiza hasa wanapoona kuna upenyo wa urahisi wa huduma kuwa makin kamanda
 
Utashuariwa mengi, ila ukweli ni kwamba hawajaacha na baba mtoto ni uwezo tu ndiyo umewaweka mbali...

Kama unamsadia sawa, usije sema hujaambiwa...


Cc: mahondaw
Zingatia ushauri huu uwezo ndio umewatenganisha lakini msaidie kuna kila sababu ya kukutana na ww katka muda huu hata likitokea tatizo mbeleni uttakuwa ushanufaika muhimu msaidie anahitaji msaada wako.
 
Back
Top Bottom