Mwanamke mwenye hivi Vitu Vitatu.... (BBV)

Mwanamke mwenye hivi Vitu Vitatu.... (BBV)

Nakusapoti maana unaweza kupata pia Wazazi ni vilaza wa kutupwa lakini wakazaa Mtoto kichwa hadi jamii ibaki ikijiuliza ni jinsi gani Mungu ana miujiza ya kila aina.
Hapo umedanganya mchana kweupe
Wazazi wana akili lakini mtoto hana kosa la nani?
Mazingira yapi unayozungumzia mpaka mtoto asiwe na akili?Naomba ufafanuzi kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli lakini pia si kwa 100%, hata hao wanasaikolojia kuna baadhi ya vitu huchemka kuvidadavua.

NB: Hakuna anayeweza kuwa na vyote hivyo la sivyo atajiona yeye ni Mungu kwa kujitosheleza ktk kila idara.
Hapo umekosea.Wasomi hatutumii maneno kama kudanganya au uongo.

Psychology. Inasema intelligence is affected by
1. Nature
2. Nurture

I am not sure if you can understand.it is heredity and also can be influenced by nature.although the odds can happen pia.but those two things affect intelliegence during child development in the womb from day one or after birth.

Wasiwasi wangu sijui kama umeelewa.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
“If you’re beautiful and have a brain and a vagina, you can own the world.”

Wanawake wengi hawajui hilo.ila ni ngumu pia kupata wa namna hiyo mwenye hizo sifa kuu tatu.
1. She is Beautiful
2. She has a Brain
3. She has a Vagina ( ashakum si matusi)

Dunia yote inakuwa kwenye kiganja chako. Hakuna sehemu ambayo mwanamke wa namna hii hawezi pita. Hakuna sehemu atakwama katika kusaka mafanikio yake.

Kama unataka kuoa rafiki yangu oa mwanamke mwenye BBV yaani Beauty, Brain and Vagina. Ila wewe sasa unapaswa uwe tu SMART. hapo ni muhimu sana.

Nawashauri tu wanaume wenzangu acheni ku date wanawake wapumbavuh, wanawake vilaza. Maana hayo mambo yanaambukiza.
Wee mpuuzi(kidding)😁 tangu uoe una akili sijui zamani ulikuwa akili umezikodisha?
Hivi kweli ulioa au ulisogeza?
 
WAPO, GOOGLE "SHEMALE"
[emoji848][emoji848]
Screenshot_20190303-232143.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom