fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,269
- Thread starter
-
- #41
maisha yamebadilikaTukiachilia mbali kigezo cha umri, Hivi kuna wakati mwanamke anakuwa bado hayupo tayari kuolewa!?
Kama ni hivyo basi ni lazima wanawake waufanyiekazi huu uzi.
Maana me nnavyojua mwanaume ndiye anatakiwa kuwa tayari kuoa, maana yeye ndiye anahudumia familia.
Na mwanamke je anatakiwa awetayari kufanyaje?
huu ndio muda sasamuda ukifika nitampata..simjui mwanaume miaka 4 sasaa.
yesIn other words wa socialize, yes kukaa ndani tu kunakukosesha fursa nyingi
huu ni muda wao sasa kutafutaBora umewasanua
Wnawake wengi wanadhani sisi wanaume tunapenda kuoa!!Tunapenda mapenzi yaani kupata tamu,sio kuoa!!
Kuoa kwetu ni pale tunapoona tumefika mwisho was starehe ndio tunaanza kufikiria Kwa mbaaali sana!mara nyingi tunajikuta ndoani bila hata kupanga!!
Ndoa ni majukumu,kuumiza kichwa,msongo wa mawazo,Hakuna mwaname anaependa hayo Bali tunalazimishwa na nature tuwe hivyo!
Wanawake wangejua kwamba wao ndio wanapenda kuolewa,wasingekua wanakaa tu wakisubiria wangepambana sana!!
Kwetu sisi ndoa ni kifungo ambacho tunaogopa kuingia,yaani ghafla unajiona kama baba was familia 3,ya kwako,kwenu na Kwa mke!!kazi sana!!
Ndio maana hata tukikolea vipi lakini tukiulizwa lini tunaoa tunaogopa kujibu!!!
NDOA NI KESI,MAHAKAMA,GEREZA KWA SISI WANAUME wanawake watambue hilo!
Na kuwaombea piatujitahidi kuwashauri
Mungu hutumia binadamu kufanya maamuziHizi zote ni porojo, Ni Mungu pekee aliyeona hitaji la kuwa na mke au mume.
Na ndoa ni takatifu, utakatifu haujawahi kuwa wa mwanadamu.
Kama hujamshirikisha Mungu hiyo ndoa utakuja kuandika uzi humu ndani ukiwa huitaki ndoa tena.
Alooooh weeehasante,,naanza kulifanyia kaz kesho ππ
kutest ni makubaliano yenuSasa tutamuoa bila kutest mitambo?
Kwa mfano mimi hapa natafuta mke! Usidanganywe na avatar! Njoo inbox! Uenda mimi ndo mmeo mtarajiwaNdio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.
Ongea na rafiki zako wa kike kama wana makaka ambao wapo tayari kuoa, ongea na mapadri, wachungaji, mashehe kuwaambia kuwa unatafuta mchumba, jiandikishe kwenye dating sites.
Ukitoka vaa kwa staha ongea kwa adabu na ukifanya utafiti ukamuona kaka fulani akakuvutia na ukagundua kuwa hana mke, mkabili mwambie umempenda na upo tayari akuoe.
Chacharika kwa kila hali, usikae kusubiri mwanaume aje, toka umtafute huko nje.
mimi nina orodha ndefu ya wanawake ambao wanaomba niwatafutie wanaume,hivyo nyie wanaume,njooni niwape wakekutest ni makubaliano yenu
Kataa ndoa ni utapeliπππΎTupo wazi tu sema mnatuona matapeli.
Sasa kama anawatafuta mpaka anafungukia anawapenda,lazima watataka wamkague kwanza. Ndio hapo atakaguliwa sana. Dunia ya sasa sio ile unayoiwaza wewe. Dunia imegeuka haileweki kabisa. Dunia pamekuwa mahala pa ovyo sana kuishi.kumtafuta haina maana ya kufunua chupi
Hope umejifunza sounds mpya we zilete tuVipi nipige verse ya pili au ile moja inatosha?
NAKAZIAππ¨Kataa ndoa ni utapeliπππΎ
ππππππππππππΎππΎππΎππΎ Jamaniiii
ona sasaNAKAZIAππ¨
muda ukifika nitampata..simjui mwanaume miaka 4 sasaa.