nenda kinondoni makaburini ndo utajua kwa nini ucheshi unatumika ktk ushawishi wa ngono. Ikumbukwe mwanamke kuwa na staha ni muhimu sana. Sio kukenua muda wote kwa kila anayekatiza mbele yako, lazima utasemwa vibaya kwani hiyo ni style ya machangudoa jamani wadada zetu.
Kwa asili mwanamke anatakiwa awe mcheshi ili mpenzi/mumewe ajisikie raha anapokuwa naye, na ni kweli wanaume hupenda wanawake wacheshi. Tatizo vicheche vingi hupenda kujilengesha kwa style ya kujichekesha kwa wanaowawinda. Kwa kuwa ni ngumu kutofautisha yupi ni yupi, hapo ndo generalisation inapofika, kiukweli sio kila ajichekeshaye ni 'public woman'.