Msikilizaji
Member
- Nov 6, 2008
- 51
- 9
Ndugu wana JF, kuna hiki kitu ambacho mimi huwa nashindwa kuelewa, ni kwanini mdada anapokuwa mcheshi wakaka/wanaume huwa wanachukulia kuwa she is easy to get.
Utakuta wakaka wengine wanamsema vibaya kuwa she is easy lakini hata kumjua hawamjui, ni kwanini wanfikiria hivyo?
Naomba msaada wenu ili nielewe hii phenomenon.
Karibuni
Utakuta wakaka wengine wanamsema vibaya kuwa she is easy lakini hata kumjua hawamjui, ni kwanini wanfikiria hivyo?
Naomba msaada wenu ili nielewe hii phenomenon.
Karibuni