Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,180
- 22,803
- Thread starter
- #41
ha ha ha.. uli mdinya mara ngapi mpaka akapata mimba? au kipindi hicho ulikuwa na stress na ukaamua kumdinya?
Yani ww acha tu ni hatupendani mpaka basi!! Sijui hata ilikuwaje nikazaa nae