mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,955
- 43,388
HahahaaaaMe mwanamke niliezaa nae jana kanipigia simu akasema,
"we mpumbavu uje umuone mwanao."
Hao watu kuna nyakati huwa wanafyatuka tu hadi unakaa unajiuliza sijui nilidate nae vipi huyu
HahahaaaaMe mwanamke niliezaa nae jana kanipigia simu akasema,
"we mpumbavu uje umuone mwanao."
Yani ww acha tu ni hatupendani mpaka basi!! Sijui hata ilikuwaje nikazaa naeHahahaaaa
Hao watu kuna nyakati huwa wanafyatuka tu hadi unakaa unajiuliza sijui nilidate nae vipi huyu
Ni kumchukulia hivo hivo tu alivyo. Hlf ulingoni huwa sio wavivu wanawake wa hivoYani ww acha tu ni hatupendani mpaka basi!! Sijui hata ilikuwaje nikazaa nae
Me mwanamke niliezaa nae jana kanipigia simu akasema,
"we mpumbavu uje umuone mwanao."

Yani ww acha tu ni hatupendani mpaka basi!! Sijui hata ilikuwaje nikazaa nae
Shida nini vyuma, au mmefunga?!Kama mnatafutana pale mnapotaka kutiana tu ina maana leo mzee umeosha rungu dah Hongera sana mkuu wengine tunafunga mwaka
Mzima weweKumwacha humuwezi ila inabidi ujifunze kuishi nae hivyo hivyo
We kibokoooooIpotezee.... Kasome kitabu au gazeti