Mwanamke mrembo lakini ana kasoro

Mwanamke mrembo lakini ana kasoro

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,180
Reaction score
22,801
kila napousikia wimbo huu.

mwanamke mrembo
hakosi kasoro"
hesabu gharama, hesabu gharama
ukiona zimezidi mrudishe kwao.

naumia sana. dada kiukweli ana mvuto nampenda na anavutia sana kimapenzi.ni mwaka huu nahangaika naye sana ,moyo wangu ana utesa lakini nakomaa hivyo hivyo. tunaachana tunarudiana, tunapotezana tunarudiana. ni mzuri sura ,umbo na ana tako kubwa zuri na hips.

shida kubwa ni mswahili. ni mswahili sana yaani hana kauli nzuri au hajui atumie maneno gani.mnaweza mkawa mnaongea vizuri tu umetulia yupo kifuani ukakuta anatamka neno la hovyo kweli.leo kapokea simu anaongea na mtu anatamka neno " mavii amchambe nani?" hayo maneno anaongea nami nipo. nlisha mkataza mara nyingi kutamka hilo neno.

jibu lake ni " aaaah we potezea bana.. inshu ndogo hizo una maindi?" hii lugha mi siipendi kwa mtoto wa kike.yaani tunaishia kuwa ni mtu ambaye tukitaka kutiana tu ndo tunatafutana baada ya hapo najikuta sina la kufanya naye.hili linanipa shida maana hatuna mambo ya maana tunayoweza ongea. ni kama akili yake ipo waru waru tu. hata wakati tunatiana sometime utasikia anasema " heeeh we hebu tom*a maliza mi nisepe usidhani hii kum* haichoki" au anasema "we mwanaume malaya sana yaani unatomb*na muda wote huo,mi nshamaliza chomoa niwahi homu" haya maneno huwa yananikata stimu sana.

najitahidi kumwambia basi angalau uwe unatumia lugha ya kistaarabu ananijibu "acha za kidingi wewe inshu nyingine unapotezea tu kama vipi tafuta wasomi siyo lazima"

haya mambo yananisumbua sana.
 
Akikua ataacha! Binafsi ndo mana sipendagi visichana KKB.
 
Gumegume..ma....ma...magume...wana mambo...magumeme...unaweza ukapiga mpaka ukaua
 
Ana tako kubwa

Hips nzuri

Ni mzuri

Mvumilie tu mkuu maana uwezi kumuacha.
 
Mswahili huyo mpotezee kama anavyokwambia.
Utakuja kulia hapo mbeleni...
Mark my words..
 
public siwi naye sana maana nashindwa kumkutanisha na my friends coz wananifahamu mimi ni mtu wa namna gani obvious watashanga sana why nina mdada ambaye ni kile kiwango ambacho mi hutaka. lakini ndo hivyo najikuta sina namna
I think unachotaka kusema ni kwamba she lacks the class that defines you.

Maybe she ia too comfortable with you, or has an upper hand over you. Ndo maana unashindwa kum control kabisa.

Je, in public anakuwaje?
 
public siwi naye sana maana nashindwa kumkutanisha na my friends coz wananifahamu mimi ni mtu wa namna gani obvious watashanga sana why nina mdada ambaye ni kile kiwango ambacho mi hutaka. lakini ndo hivyo najikuta sina namna

I think nyie ni wale wanaume mnaokuwaga weak mbele ya mwanamke mrembo

Sioni any other explanation for your weakness.

Lol
 
Kumbe unataka Malaika mkamilifu? Endelea kutafuta ila hapa duniani kila binadamu Ana kasoro zake Chagua kuvumilia ama kutanga tanga
 
Nimecheka saana hizo kauli za huyo binti, zinanikumbusha nyakati za ujana niliwahi kudate binti mmoja alikuwa na maneno ya ajabu ajabu sana tena hata mbele za watu, kifupi ni kwamba inakuwa hawana lugha ya kistaarabu

Siku moja nilikutana nae mtaani ghafla tu hatukupanga kukutana, basi baada ya salamu akaropoka oyaaaa we mwendawazimu nina hamu na m*oo yako hiyo ukani*ombe hadi niumwe yaan, hapo ni mbele ya kadamnasi na hana hata wasi wasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom