Mwanamke mnyenyekevu hakosi mume.

Mwanamke mnyenyekevu hakosi mume.

Jhounne

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
1,093
Reaction score
2,565
habari za jumapili Wana JF

Leo nimetamani Sana kuongea na wanawake wanaotafuta kuolewa.Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la wanawake wanaowalilia wachungaji wafanyiwe maombi ili waweze kupata wenza wa maisha.Hata wengine wamediriki kwenda kwa waganga ili waweze kuondolewa nuksi na kuolewa.

Mimi naamini kabisa mwanamke akikaa katika nafasi yake ya uanamke Kama Biblia inavyosema hawezi kukosa mume wa kumuoa.
Mwanamke mnyenyekevu Ni baraka kwa mume na familia.

Sifa za mwanamke mnyenyekevu Ni
Mtii, anasamehe, anasikiliza, anampenda Mungu, anashukrani anafundishika kirahisi, anakubali makosa na kuyarekebisha, mwaminifu na zingine unaweza kuongeza.

Hivyo basi mwanamke akiacha jeuri, kiburi, majivuno, wivu uliopitiliza, hasira, kununa nuna, ubinafsi, ubishi, uchoyo, kushindana sidhani Kama atahitaji kubadilisha makanisa kutafuta maombi Wala kwenda kwa mganga kuondoa nuksi,.

Wakolosai 3:18 Neno la Mungu linasema Ninyi wake watiini waume zenu Kama ipendezavyo katika Bwana

Mfano wa wanawake wanyenyekevu katika Biblia Takatifu Ni

SARA Tunaweza kuona jinsi Sara alivyokuwa mtiifu kwa mumewe Ibrahimu mfano walipokwenda Misri Ibrahimu alimwambia aseme kwamba wao Ni ndugu na akakubali Mwanzo 12:11

ABIGAIL Jinsi alivyomwokoa mumewe Nabali(1samwel 25:3-27)

ESTHER mwanamke mnyenyekevu aliyewaokoa Wayahudi wasiuawe

Wengine Ni Ruth, Mariam Mama wa Yesu, Elisabeth nk

Tunapozumgumzia UTII maana yake ni kufuata maelekezo uliyoagizwa bila maswali , Wala kusita kwa wajeda wanaelewa zaidi Neno kutii kwa hvyo sidhani Kama Kuna mwanamke anahitaj kubishana na Neno la Mungu kuhusu utii.
Tabia njema ya mwanamke inaweza kubadilisha tabia mbaya ya mwanamume.

Hivyo basi kuanzia Leo wewe mwanamke ambae unahangaika kutafuta ndoa , umelia vya kutosha ,umefunga ,umekwenda kwa waganga jifunze unyenyekevu kwani Ni kitu unaweza kujifunza, Kuna wanawake wamezaliwa hvyo Ni wanyenyekevu lakini Kama huko hvyo unaweza kujifunza.

Kuna vijana wengi Sana wa kiume mtaani wanaotafuta wachumba lakini wanasema hawawaoni wanawake wa kuoa, wakati huko makanisani wanawake wamejaa wanaomba maombi.
Povu ruksa kwa wale wa "Haki sawa"
Jumapili njema
 
Pokea
tapatalk_1558636505474.jpeg
 
Najiuliza sana kwa nini tukasema wanawake wengi?
Tunauficha wapi msingi?je tuamini wanawake wanateseka sana kupata Waume?
Je kuolewa kumekuwa jambo la muhimu sana kwa wakati huu kuliko wakati uliopita?
Nawaza kidogo tu wanawake watiifu kuliko tunavyofikiri walioolewa na wanapata shida nao sijajua shida nini?
Nawaza tu na ni mawazo yangu juu ya hili,utamaduni haujawahi kumuachia Mwanamke uhuru na sijaiona nafasi hiyo popote.
Kwa nini tunamtaka Mwanamke aendelee kutii juu ya utii....simaanishi napingana na utii ila kwa nini Mwanamke?
Mfumo umeficha siri nyingi na uhuru wa Mama zetu,ninaumia sana kusikia Mwanamke akiongezewa kongwa zito juu ya uwezo wake.
Historia inanionesha picha ya Mama yangu mpendwa aliyepitia madhila ya mfumo dume nikiona na Leo najiita kidume...natamani kutokwa na machozi.
Ni ngumu sana kutambua Mwanaume anatamani mini katika Dunia hii (na hapa naunga kama Mwanaume nina ushahidi huo katika maisha yangu)
Kuna Wanawake wamejitahidi kweli na hata ninavyoandika wapo wanaojitahidi sana kujua na kutafuta hasa ni nini Wanaume wanapenda ila bado sidhani kama watafanikiwa (ni kama Wanaume tusivyoweza kujua mahitaji ya wanawake yote)
Uumbaji umeficha mengi sana na taasisi zetu kubwa kubwa na zile ndogo na muhimu katika kukuza utamaduni mfano makanisa,mashule, misikiti,hata familia zimejaa upendeleo (Kuna nafasi ya Mtoto wa kike imepokwa).
Baada ya kusahau yote unayoyajua inaweza ikawa ni rahisi sana kuingiza mapya ila inahitaji kuiruhusu akili yako kuona mbali ya panapoitwa mbali,
Hakuna kiumbe mwenye ushawishi mkubwa Duniani kwa Mwanaume kama Mwanamke labda tujiulize kuanzia hapo.
 
Najiuliza sana kwa nini tukasema wanawake wengi?
Tunauficha wapi msingi?je tuamini wanawake wanateseka sana kupata Waume?
Je kuolewa kumekuwa jambo la muhimu sana kwa wakati huu kuliko wakati uliopita?
Nawaza kidogo tu wanawake watiifu kuliko tunavyofikiri walioolewa na wanapata shida nao sijajua shida nini?
Nawaza tu na ni mawazo yangu juu ya hili,utamaduni haujawahi kumuachia Mwanamke uhuru na sijaiona nafasi hiyo popote.
Kwa nini tunamtaka Mwanamke aendelee kutii juu ya utii....simaanishi napingana na utii ila kwa nini Mwanamke?
Mfumo umeficha siri nyingi na uhuru wa Mama zetu,ninaumia sana kusikia Mwanamke akiongezewa kongwa zito juu ya uwezo wake.
Historia inanionesha picha ya Mama yangu mpendwa aliyepitia madhila ya mfumo dume nikiona na Leo najiita kidume...natamani kutokwa na machozi.
Ni ngumu sana kutambua Mwanaume anatamani mini katika Dunia hii (napa naunga kama Mwanaume nina ushahidi huo katika maisha yangu)
Kuna Wanawake wamejitahidi kweli na hata ninavyoandika wapo wanaojitahidi sana kujua na kutafuta hasa ni nini Wanaume wanapenda ila bado sidhani kama watafanikiwa (ni kama Wanaume tusivyoweza kujua mahitaji ya wanawake yote)
Uumbaji umeficha mengi sana na taasisi zetu kubwa kubwa na zile indigo na muhimu katika kukuza utamaduni mfano makanisa,mashule, misikiti,hata familia zimejaa upendeleo (Kuna nafasi ya Mtoto wa kike imepokwa).
Baada ya kusahau yote unayoyajua inaweza ikawa ni rahisi sana kuingiza mapya ila inahitaji kuiruhusu akili yako kuona mbali ya panapoitwa mbali,
Hakuna kiumbe mwenye ushawishi mkubwa Duniani kwa Mwanaume kama Mwanamke labda tujiulize kuanzia hapo.
Ni kweli mwanamke Ana ushawishi mkubwa Sana kwa mwanaume na Kama mwanamke akitambua Hilo na akatumia vema nafasi yake atafanikiwa Sana katika mahusiano lakini pia mwanamke ndie mlezi wa mwanaume hapa namaanisha watoto fikiria Ni mwanamke huyo huyo anabeba mimba ya mtoto wa kiume anamnyonyesha na kumsimamia maisha yake yote hebu ona mwanamke alivyo na ushawishi kwa mwanaume kuanzia kwenye malezi mpaka kwenye ndoa.
Kuna msemo wanasema watoto wa kiume ni wa mama , hvyo wanawake wanapaswa kuwafundisha watoto wao wa kiume kuwapenda na kuwajali wake zao Kama maagizo ya Mungu yanavyosema
Mithali 22:6 mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokuwa mzee
 
Naam hapa sasa umenigusa
Ni kweli mwanamke Ana ushawishi mkubwa Sana kwa mwanaume na Kama mwanamke akitambua Hilo na akatumia vema nafasi yake atafanikiwa Sana katika mahusiano lakini pia mwanamke ndie mlezi wa mwanaume hapa namaanisha watoto fikiria Ni mwanamke huyo huyo anabeba mimba ya mtoto wa kiume anamnyonyesha na kumsimamia maisha yake yote hebu ona mwanamke alivyo na ushawishi kwa mwanaume kuanzia kwenye malezi mpaka kwenye ndoa.
Kuna msemo wanasema watoto wa kiume ni wa mama , hvyo wanawake wanapaswa kuwafundisha watoto wao wa kiume kuwapenda na kuwajali wake zao Kama maagizo ya Mungu yanavyosema
Mithali 22:6 mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokuwa mzee
Naam hapa sasa ndiyo pa kujali zaidi yaani KUJITAMBUA ,hakuna Mwanaune mwenye ujanja juu ya ushawishi wa Mwanamke...labda vizazi vingine katika sayari nyingine au kuwa kuwa na hitilafu za kibaiolojia.
Mwanamke hatumii misuli"physical energy"ila ana nguvu ya ajabu katika ushawishi.
Nimelipenda andiko hilo la .....train your kids...na katika kufundisha ninadhani kutakuwa na tija kama tutafundisha KWELI.
Biblia inasema neno la Mungu ni kweli.....tusipapase. ukweli tuuseme ili tuwe uhuru.
MWANAMKE NI SHUJAA,MWANAMKE ANAWEZA BILA KUWEZESHWA,MWANAMKE NI MLEZI BORA WA MWANAUME DUNIANI.
Ujue sipati picha kama Dunia ingejawa na Wanaume tu,sijui Burma na upendo vingepenyea wapi...how cannibal life could be?
Uwepo wa wanawake haujawahi kutengwa na amani Duniani.
Mungu na azidi kuwabariki Wanawake.
 
Naam hapa sasa umenigusa

Naam hapa sasa ndiyo pa kujali zaidi yaani KUJITAMBUA ,hakuna Mwanaune mwenye ujanja juu ya ushawishi wa Mwanamke...labda vizazi vingine katika sayari nyingine au kuwa kuwa na hitilafu za kibaiolojia.
Mwanamke hatumii misuli"physical energy"ila ana nguvu ya ajabu katika ushawishi.
Nimelipenda andiko hilo la .....train your kids...na katika kufundisha ninadhani kutakuwa na tija kama tutafundisha KWELI.
Biblia inasema neno la Mungu ni kweli.....tusipapase. ukweli tuuseme ili tuwe uhuru.
MWANAMKE NI SHUJAA,MWANAMKE ANAWEZA BILA KUWEZESHWA,MWANAMKE NI MLEZI BORA WA MWANAUME DUNIANI.
Ujue sipati picha kama Dunia ingejawa na Wanaume tu,sijui Burma na upendo vingepenyea wapi...how cannibal life could be?
Uwepo wa wanawake haujawahi kutengwa na amani Duniani.
Mungu na azidi kuwabariki Wanawake.
Amen
 
habari za jumapili Wana jf
Leo nimetamani Sana kuongea na wanawake wanaotafuta kuolewa.Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la wanawake wanaowalilia wachungaji wafanyiwe maombi ili waweze kupata wenza wa maisha.Hata wengine wamediriki kwenda kwa waganga ili waweze kuondolewa nuksi na kuolewa.
Mimi naamini kabisa mwanamke akikaa katika nafasi yake ya uanamke Kama Biblia inavyosema hawezi kukosa mume wa kumuoa.
Mwanamke mnyenyekevu Ni baraka kwa mume na familia.

Sifa za mwanamke mnyenyekevu Ni
Mtii, anasamehe, anasikiliza, anampenda Mungu, anashukrani anafundishika kirahisi, anakubali makosa na kuyarekebisha, mwaminifu na zingine unaweza kuongeza.

Hivyo basi mwanamke akiacha jeuri, kiburi, majivuno, wivu uliopitiliza, hasira, kununa nuna, ubinafsi, ubishi, uchoyo, kushindana sidhani Kama atahitaji kubadilisha makanisa kutafuta maombi Wala kwenda kwa mganga kuondoa nuksi,.

Wakolosai 3:18 Neno la Mungu linasema Ninyi wake watiini waume zenu Kama ipendezavyo katika Bwana

Mfano wa wanawake wanyenyekevu katika Biblia Takatifu Ni

SARA Tunaweza kuona jinsi Sara alivyokuwa mtiifu kwa mumewe Ibrahimu mfano walipokwenda Misri Ibrahimu alimwambia aseme kwamba wao Ni ndugu na akakubali Mwanzo 12:11

ABIGAIL Jinsi alivyomwokoa mumewe Nabali(1samwel 25:3-27)

ESTHER mwanamke mnyenyekevu aliyewaokoa Wayahudi wasiuawe

Wengine Ni Ruth, Mariam Mama wa Yesu, Elisabeth nk

Tunapozumgumzia UTII maana yake ni kufuata maelekezo uliyoagizwa bila maswali , Wala kusita kwa wajeda wanaelewa zaidi Neno kutii kwa hvyo sidhani Kama Kuna mwanamke anahitaj kubishana na Neno la Mungu kuhusu utii.
Tabia njema ya mwanamke inaweza kubadilisha tabia mbaya ya mwanamume.
Hivyo basi kuanzia Leo wewe mwanamke ambae unahangaika kutafuta ndoa , umelia vya kutosha ,umefunga ,umekwenda kwa waganga jifunze unyenyekevu kwani Ni kitu unaweza kujifunza, Kuna wanawake wamezaliwa hvyo Ni wanyenyekevu lakini Kama huko hvyo unaweza kujifunza.
Kuna vijana wengi Sana wa kiume mtaani wanaotafuta wachumba lakini wanasema hawawaoni wanawake wa kuoa, wakati huko makanisani wanawake wamejaa wanaomba maombi.
Povu ruksa kwa wale wa "Haki sawa"
Jumapili njema
Woii hiyo ni ndoa tu ndo inatafutwa hivyo au kuna kingine? Au ni ufalme wa mbinguni?
 
Yeleuwiiiiiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
habari za jumapili Wana jf
Leo nimetamani Sana kuongea na wanawake wanaotafuta kuolewa.Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la wanawake wanaowalilia wachungaji wafanyiwe maombi ili waweze kupata wenza wa maisha.Hata wengine wamediriki kwenda kwa waganga ili waweze kuondolewa nuksi na kuolewa.
Mimi naamini kabisa mwanamke akikaa katika nafasi yake ya uanamke Kama Biblia inavyosema hawezi kukosa mume wa kumuoa.
Mwanamke mnyenyekevu Ni baraka kwa mume na familia.

Sifa za mwanamke mnyenyekevu Ni
Mtii, anasamehe, anasikiliza, anampenda Mungu, anashukrani anafundishika kirahisi, anakubali makosa na kuyarekebisha, mwaminifu na zingine unaweza kuongeza.

Hivyo basi mwanamke akiacha jeuri, kiburi, majivuno, wivu uliopitiliza, hasira, kununa nuna, ubinafsi, ubishi, uchoyo, kushindana sidhani Kama atahitaji kubadilisha makanisa kutafuta maombi Wala kwenda kwa mganga kuondoa nuksi,.

Wakolosai 3:18 Neno la Mungu linasema Ninyi wake watiini waume zenu Kama ipendezavyo katika Bwana

Mfano wa wanawake wanyenyekevu katika Biblia Takatifu Ni

SARA Tunaweza kuona jinsi Sara alivyokuwa mtiifu kwa mumewe Ibrahimu mfano walipokwenda Misri Ibrahimu alimwambia aseme kwamba wao Ni ndugu na akakubali Mwanzo 12:11

ABIGAIL Jinsi alivyomwokoa mumewe Nabali(1samwel 25:3-27)

ESTHER mwanamke mnyenyekevu aliyewaokoa Wayahudi wasiuawe

Wengine Ni Ruth, Mariam Mama wa Yesu, Elisabeth nk

Tunapozumgumzia UTII maana yake ni kufuata maelekezo uliyoagizwa bila maswali , Wala kusita kwa wajeda wanaelewa zaidi Neno kutii kwa hvyo sidhani Kama Kuna mwanamke anahitaj kubishana na Neno la Mungu kuhusu utii.
Tabia njema ya mwanamke inaweza kubadilisha tabia mbaya ya mwanamume.
Hivyo basi kuanzia Leo wewe mwanamke ambae unahangaika kutafuta ndoa , umelia vya kutosha ,umefunga ,umekwenda kwa waganga jifunze unyenyekevu kwani Ni kitu unaweza kujifunza, Kuna wanawake wamezaliwa hvyo Ni wanyenyekevu lakini Kama huko hvyo unaweza kujifunza.
Kuna vijana wengi Sana wa kiume mtaani wanaotafuta wachumba lakini wanasema hawawaoni wanawake wa kuoa, wakati huko makanisani wanawake wamejaa wanaomba maombi.
Povu ruksa kwa wale wa "Haki sawa"
Jumapili njema
Huu ujumbe unawahusu wanawake wote, hata wale walioolewa.
 
Woii hiyo ni ndoa tu ndo inatafutwa hivyo au kuna kingine? Au ni ufalme wa mbinguni?
Mithali 21:19 Ni afadhali kukaa katika nchi ya nyika kuliko kukaa na mwanamke mgomvi, mchokozi
 
Mithali 21:19 Ni afadhali kukaa katika nchi ya nyika kuliko kukaa na mwanamke mgomvi, mchokozi
Mimi siyo mgomvi wala mchokozi ila it seems like anayetakiwa ahangaikie ndoa ni mwanamke peke yake maana sisikiagi mwanaume anatakiwa afanye nini ili aoe mke mwema au ili ndoa yake idumu kila siku ni wanawake tu na sisi tushajichokea saa hizi tunataka tuone na jitihada za wanaume
 
Mimi siyo mgomvi wala mchokozi ila it seems like anayetakiwa ahangaikie ndoa ni mwanamke peke yake maana sisikiagi mwanaume anatakiwa afanye nini ili aoe mke mwema au ili ndoa yake idumu kila siku ni wanawake tu na sisi tushajichokea saa hizi tunataka tuone na jitihada za wanaume
Simaanishi wewe mgomvi mpendwa wangu nimetoa Hilo andiko kuonyesha kwamba mwanamke anaweza kufanya mazuri na familia ikafika mbinguni na akafanya mabaya familia yote ikateketea , hasa ulipozungumzia ufalme was mbingu
 
Back
Top Bottom