Mwanamke Mjeshi Kwa Kiwango cha Lami

yaaninusipoambiwa wala hutasema ......................
 
Huyu Mama alikwisha staafu, wapo wengine mmoja ameenda Sudan juzi tu nae ni 1 General Star! Nadhani yupo Maj Gen pia!
 
Alishastaafu siku nyingi, alistaafu na Cheo cha meja jenerali, hata hivyo yeye alikuwa mwanamke Wa kwanza kuwa na Cheo kikubwa jeshini Ingawa siku hizi Kuna wengine.
 
Nilipata kusikia pia kuwa yule mama mwimba taarabu (njiwa peleka salamu) ni mwanajeshi mwenye cheo
 
Wandugu !! 1000 words, masuali 1000 ? na zaidi ni HONGERA milioni moja kwake Mjeshi.
 
Usilolijua siku nyingine jaribu kuuliza au kutafiti kwanza.
 
Afande Madawili ...jina lake limefanya mpaka leo hii kwenye kambi nyingi wanajeshi wakike walio mafunzoni wanaitwq MADAWILI... hasa wale wa JKT kila mwanamke huitwa dawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…