Mwanamke mbishi

Tunapitia mengi pole sana

Wa kwangu ni msafi kupindukia yaani ndani ng'ari ng'ari mpaka air freshener.

Ila sasa mbunye kwa mbinde, nimeamua kutafuta kimada. Nikirudi niko mwepesiii namhug mabusu halafu tunalala tu,
Sasa nifanyeje?

Hapo unakuta kuna mwamba anapelekewa kila siku,wewe unabaki kuwa mpenzi mtazamaji
 
Huyo siyo mwanamke bali ni chama cha upinzani.Fukuza mara moja.
 
Mnunulie washing machine
 
Pole sana mkuu changamoto unayoipitia hata mimi pia naipitia japo mi huwa sigombani nae wala nafua nguo zangu mwenyewe, ukiendekeza kugombana na hao viumbe kama siyo Jela basi utakufa mapema
Yani uko na mwanamke ndani halafu hakufulii nguo!!unafua mwenyewe eti hutaki kujibishana nae..nonsense kabisa.na bado unamhudumia!!😀

Ungekuwa unamlisha vitasa vya mshtukizo kama mabomu ya Urusi na Ukraine.pumbavu kabisa
 
Ni lazima uishi naye?!!
 
Tunapitia mengi pole sana

Wa kwangu ni msafi kupindukia yaani ndani ng'ari ng'ari mpaka air freshener.

Ila sasa mbunye kwa mbinde, nimeamua kutafuta kimada. Nikirudi niko mwepesiii namhug mabusu halafu tunalala tu,
Sasa nifanyeje?
Wewe ndoa yako itadumu😆😆kumbe na nyie wanaume mnapitia mengi ee…

Usisahau ndom sasa we nae
 
Tunapitia mengi pole sana

Wa kwangu ni msafi kupindukia yaani ndani ng'ari ng'ari mpaka air freshener.

Ila sasa mbunye kwa mbinde, nimeamua kutafuta kimada. Nikirudi niko mwepesiii namhug mabusu halafu tunalala tu,
Sasa nifanyeje?
Lazy man. Yani anakubania halafu anampa nani?. Nawe umeridhika kabisa eti na hug, mabusu halafu tunalala, halafu unauliza ufanyaje?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…