Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Ukitoka hapo unaenda kumvulia ukija huku unamwita paka, fisi n.k kweli na wewe una lako!!!!!!!

Unaelewa matumizi ya neno "kama"?
kumvulia namvulia tena sana and am doing it for love ila si kumfanyia atulie....
 
Unaelewa matumizi ya neno "kama"?
kumvulia namvulia tena sana and am doing it for love ila si kumfanyia atulie....
Na elewa.
Inategemeana na aina yako ya uvuaji ndo itamfanya atulie sio kuvua vua tu ukategemea kumtuliza mwanaume!!!
 
Na wababa wakinyimba zinakuwa fomu za fomu wani?

Mie nimechoka kabisa................ na wale wanaofanyiwa kila lipaswalo na bado wanaenda pa kwenda? Mie sometimes ninaamini kuwa cheating/onjaonja au hizo adventures ni nature ya wanaume. They are explorers always, labda wanatofautiana na kiasi na ubinadamu wa kufikiria kuhusu hisia ya mwenzi wake.
 
Na elewa.
Inategemeana na aina yako ya uvuaji ndo itamfanya atulie sio kuvua vua tu ukategemea kumtuliza mwanaume!!!

Nivue zote, nipandishe gauni juu, nisogeze bikini pembeni n.k
Wanaume kama paka hata umuwekee bili ya steki atakimbiza panya tu over!!!!
 
Mie nimechoka kabisa................ na wale wanaofanyiwa kila lipaswalo na bado wanaenda pa kwenda? Mie sometimes ninaamini kuwa cheating/onjaonja au hizo adventures ni nature ya wanaume. They are explorers always, labda wanatofautiana na kiasi na ubinadamu wa kufikiria kuhusu hisia ya mwenzi wake.

Like like like kitufe sijui nani kachukua leo...
 
Nivue zote, nipandishe gauni juu, nisogeze bikini pembeni n.k
Wanaume kama paka hata umuwekee bili ya steki atakimbiza panya tu over!!!!

Kukimbiza panya sio shida, shida ni kumla kama haujaona manyoya haina tatizo ila labda kama wako ndo atakuwa hajatulia basi jilaumu kuvua pabaya sio kulaumu wanaume wote.!!
 
Kukimbiza panya sio shida, shida ni kumla kama haujaona manyoya haina tatizo ila labda kama wako ndo atakuwa hajatulia basi jilaumu kuvua kabaya sio kulaumu wanaume wote.!!
:argue:
Eti it kukimbiza panya sio shida, kwani paka huwa anamkimbiza panya ili wacheze?
 

Yamekushinda usipende kuongea vitu usivyo kuwa na uhakika navya!!!!!!!!!
stock-footage-close-up-head-shot-of-a-guy-with-his-mouth-covered-with-duct-tape-and-the-words-do.jpg
Mdomo unaponzaa!!!
 
Kilichonishinda ni kipi?
Kumfananisha mwanaume na paka halafu ukashindwa kubainisha..!
Kuongea siachi, nnachokiongea nna Uhakika asilimia zooote,
Kama unauhakika thibitisha sasa..
kama wewe haihusu mbona umeguswa namna hii???
Kumbuka unapoongelea wanaume unagusa wote bila kumsahau Baba yako.
Kwa hivyo ninazo sababu za kutosha kukuonya juu ya hizo kauli zako!
 
Back
Top Bottom