Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Ila kuna wanaume wengine unakuta hajui kusex anafanya mapenzi kama anashurubisha vile

looh wa hivo nakwambia tu umemaliza ili kuishana ya nini kujifanya unaenjoy wakati huenjoy aku
Acha mambo yako hakuna mwanaume wa ivo bwana sema nyie ndo mnasababisha kushikwa hamtaki kunyonywa hamtaki sasa unategemea nini nami nimetoka kwenye ulabu na nina kiu
 
haya mambo bwana! nashindwa kuelewa haya yooote yanatoka wap..kwani wazee wetu walifanyaje hata wakaishi mpaka leo kwa amani na uvumilivu? ama kweli hiki ndicho kizaz cha.nyoka! suala la kucheat halisababishw na mapenzi ya kitandani tu jamani..ukiona hivyo ujue ni tabia ya mtu..pamoja na kuwa kuna mambo mengine kweli yanaleta maudhi..na maudh haya si kwa wanawake tu..hebu niambie mfano mmekorofishana wee mchana kutwa halafu kitandani mtu anaanza kukupapasa hapo hasira zimekujaa hata ukilazimisha vip hisia haziwezkuja. zaid sana wengine atamwacha tu amalize haja zake maana kuna wanaume ambao ni disminder atakuambia kwan mm nimekutuma unune? sasa ikitokea mwanaume kama huyu kukimbilia nje na kushindwa kutafuta suluhu hana akili..kwani hata maandiko matakatifu yanasema AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI.
Haya ujumbe umefika ulieuleta..kazi ufanyiwe kazi..
 
Mimi sitoki nje ya ndoa, labda kue kuna kabint kanajiletaleta. ndio nitakachapa ili kutunza heshima. hivyo wanaume muda mwingine tunatoka ili kutunza heshima.


selfish
 
Back
Top Bottom