Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,440
Jana kwenye kipindi cha Women Matters Dr Mwaka alisema Mwanamke ni mtawala hivyo hataki haingiliwi kwenye utawala wake wa mapenzi.
Mimi najua kwa asili mwanamke ni mtawala nakubali hili ikiwa mimi ni mume na baba wa familia hivyo nakubaliana na Dr Mwaka kwa upande wa mapenzi lakini naongeza kuwa huyo mwanamke ni mtawala wa familia au nyumba kwa sababu:
1. Anajua bajeti ya familia hata kama hapewi fursa ya kuiandaa
2. Ndiye mtekelezaji wa bajeti ya familia.
3. Anajua structure ya familia na nyumba kwa ujumla(nibishe).
4. Anajua majukumu yake na muda wa kazi (rejea Mithali 30, mwanamke bora ni yule anayeamka kabla ya wote na kuandaa mahitaji.
5. Ajajua kupanga vipaumbele vya familia na yeye akiwemo isipokuwa hajui vipaumbele vya baba na ndiye maana akiandaa vipaumbele hataji mahitaji ya baba isipokuwa yeye na familia kwa ujumla ila kwa uchache kwa baba na ndiyo maana nawambia wanaume kila pesa unayoipata hakikisha 30% umekula wewe binafsi na 70%kwa familia kwani ukipeleka yote hutapata hata ya kunywa bia ila atakupa ya matumizi bila kujali inatosha au haitoshi (kwa wazoefu wa ndoa wanajua)
6. Ni watunza hazina wazuri na ndiyo maana usipompa kutunza anakuwa fisadi. Au mwizi na akitunza hakika ametunza
7. Wanajali familia na ndiyo maana bosi anajali watumishi wake.
8. Hataki kuingiliwa kwenye utawala wake ikiwemo kuingiliwa katika majukumu hayo juu na ndiyo maana akiingiliwa kinawaka ikiwa mamamkwe au wifi au kimada hakubali na ndiyo sifa ya mtawala.
Zingine karibu uongezee.
Kila kwenye mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke pembeni ambaye ndiyo mtawala(administrator) kwani unaweza kuwa na shirika lkn yupo mtawala wa yote au tumuite CEO au DG hivyo tuwashukuru na tuwapongeze sana, hata kama hujaoa na ukawa unafanikiwa basi katibu au meneja wako ni mwanamke au ni mwanaume mwenye mke hivyo utaendelea au utafanikiwa lkn ujue aliye na mke atafanikiwa kabla yako, si lazima pesa inaweza kuwa mipango au second income.
Watu watauliza vipi mapadre? Ndiyo hawana maendeleo binafsi na ni wafujaji wa mali zao binafsi. Isipokuwa za umma kwa kuwa yeye si mwamuzi bali mtawala na hategemei hiyo kazi kuishi au kufanikiwa bali kwa mazoea na inafanikiwa hakikutana na watu wenye watawala nyumbani na ndiyo maana mkurugenzi wa fedha TEC ni mlei ila vatican ni Askofu kwakuwa si kwa manufaa ya nchi wala mtu bali kanisa! Ndiyo maana hatuwezi kuwa na Rais bachelor.
Kongole wanawake endeeleni kutawala ili dunia iwe salama. Mwanamke akishindwa kuwa mtawala mkamilifu na familia inayumba yaani akishindwa kufutata hizo sababu juu.
Mimi najua kwa asili mwanamke ni mtawala nakubali hili ikiwa mimi ni mume na baba wa familia hivyo nakubaliana na Dr Mwaka kwa upande wa mapenzi lakini naongeza kuwa huyo mwanamke ni mtawala wa familia au nyumba kwa sababu:
1. Anajua bajeti ya familia hata kama hapewi fursa ya kuiandaa
2. Ndiye mtekelezaji wa bajeti ya familia.
3. Anajua structure ya familia na nyumba kwa ujumla(nibishe).
4. Anajua majukumu yake na muda wa kazi (rejea Mithali 30, mwanamke bora ni yule anayeamka kabla ya wote na kuandaa mahitaji.
5. Ajajua kupanga vipaumbele vya familia na yeye akiwemo isipokuwa hajui vipaumbele vya baba na ndiye maana akiandaa vipaumbele hataji mahitaji ya baba isipokuwa yeye na familia kwa ujumla ila kwa uchache kwa baba na ndiyo maana nawambia wanaume kila pesa unayoipata hakikisha 30% umekula wewe binafsi na 70%kwa familia kwani ukipeleka yote hutapata hata ya kunywa bia ila atakupa ya matumizi bila kujali inatosha au haitoshi (kwa wazoefu wa ndoa wanajua)
6. Ni watunza hazina wazuri na ndiyo maana usipompa kutunza anakuwa fisadi. Au mwizi na akitunza hakika ametunza
7. Wanajali familia na ndiyo maana bosi anajali watumishi wake.
8. Hataki kuingiliwa kwenye utawala wake ikiwemo kuingiliwa katika majukumu hayo juu na ndiyo maana akiingiliwa kinawaka ikiwa mamamkwe au wifi au kimada hakubali na ndiyo sifa ya mtawala.
Zingine karibu uongezee.
Kila kwenye mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke pembeni ambaye ndiyo mtawala(administrator) kwani unaweza kuwa na shirika lkn yupo mtawala wa yote au tumuite CEO au DG hivyo tuwashukuru na tuwapongeze sana, hata kama hujaoa na ukawa unafanikiwa basi katibu au meneja wako ni mwanamke au ni mwanaume mwenye mke hivyo utaendelea au utafanikiwa lkn ujue aliye na mke atafanikiwa kabla yako, si lazima pesa inaweza kuwa mipango au second income.
Watu watauliza vipi mapadre? Ndiyo hawana maendeleo binafsi na ni wafujaji wa mali zao binafsi. Isipokuwa za umma kwa kuwa yeye si mwamuzi bali mtawala na hategemei hiyo kazi kuishi au kufanikiwa bali kwa mazoea na inafanikiwa hakikutana na watu wenye watawala nyumbani na ndiyo maana mkurugenzi wa fedha TEC ni mlei ila vatican ni Askofu kwakuwa si kwa manufaa ya nchi wala mtu bali kanisa! Ndiyo maana hatuwezi kuwa na Rais bachelor.
Kongole wanawake endeeleni kutawala ili dunia iwe salama. Mwanamke akishindwa kuwa mtawala mkamilifu na familia inayumba yaani akishindwa kufutata hizo sababu juu.