jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,595
Jamaa sio mtaalam, ila tunamsamehe, nyeusi ni "classic colur"..Mwingine huyu haujui hata maana ya neno sexy, hakuna rangi ya chupi inayopandisha mzuka kama nyeusi!
Jamaa sio mtaalam, ila tunamsamehe, nyeusi ni "classic colur"..Mwingine huyu haujui hata maana ya neno sexy, hakuna rangi ya chupi inayopandisha mzuka kama nyeusi!
Njoo kwangu nikufanyie maombi, mimi ni senior pastorMi mlokole huku hakunihusu
Kwahiyo unataka avae chupi jekundu kama lako?
Lingerie ndo nini.uku tukuyu VIP bado wanazo wake zetu.acheni utani mweeeeAfu iwe ya lace hivii,afu mtu mweupeee weuweee acha kbs
My fav lingerie ni nyeusi zenye lace
Usikute unazokataa kanunuliwa na wenzio wanaopenda hiyo rangi mkuu.Inakuwaje una appointment na mjamaa wako alafu unavalia chupi nyeusi tiii hamjui mnakera jamani.hata taiti nyeusi zote ni kerooo!!!
Bwana Yesu asifiwe,, ila umesoma na umeshachangia mada.Mi mlokole huku hakunihusu
looh jembe na nyundo tenaKweli kaka mi napenda akipiga chupi ya kijani na njano katikati ya papa pachorwe Jembe na Nyundo
Mi nadhani uvae la chuichui...