Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?
Jamani jamani jamani.......... Hii lugha ya Dave Cameroon mtuonee huruma wajukuu wa Mwalimu Nyerere tuliosoma shule za sekandare za kata tukaishia fom tuu B.....

Khaa!!:crazy:
 
Bi mkubwa,

Habari yako binafsi kwanza....

Huyo mwanamke ambaye hatongozwi huyo tena ni kiboko ua labda hajui matumizi ya mtandao.....

Maana siku hizi unatongozwa na mtu hata hamjuani matongozo meeengi mpaka uanshangaa huyu mtu ananijuaje mimi kama ni jini je???

JF unatongozwa, FB unatongozwa, Twita unatongozwa nk basi ni vurugu tupu
 
Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?

Finest tafadhali naomba tafsiri ya hapo kwenye bluu
 
kingine dharau kuna baadhi ya wanawake hujamsalimia anakuangalia kama choo, utathubutu kumtongoza?


Shem.....nakusalimu.

Ama baada ya salamu naomba nikuulize kumbe kutongozwa ni deal eh? Ole wake mtu anitongozee mai mama Matesha wangu.....

Vingine vunavyochangia mwanamke kutotongozwa:(Source: ODM)

1. Akiwa mzuri sana (wanaume tunaogopa kupigwa vibuti ati) kuna ile hulka ya wanaume kuona mrembo kama huyu si size yangu. Sasa kila mtu akiona we si size yake ndo basi tena. Watu watakuwa wanafaidi kwa macho tu.
2. Akiwa mbaya sana (Yaani mwanamke ana sura kama ngumi ya mwizi) afu basi hata kujifanyia make ups hajui au hataki. Afu ukute mchafu kama choo cha stendi..../ nani atakutongoza?
3. Maringo / majivuno kwa sana
4. Utajiri... Kama una vijisenti vyako kama vya Chenge, ni wanaume wachache sana wenye guts za kukutokea.
5. Kichwa / Shule.... Yaani kama umepiga elimu zako kadhaa kichwani, tena zenye heshima ya haja... vidume huwa havipendi "kutawaliwa".

Sijui niendelee?
 
Lol. . mapenzi na mahusiano dah! mapenzi yanarun dunia! sababu nyingi zinasababishwa na infriority complex ya kaka zetu! mwanamke ajifanyishe wa chini ili atongozwe? yani ingekuwa kwa mila zetu mwanamke unaweza ukaanza ingekuwa bora sana jamani!
 
Dena hakuna njia za kuzuia mwanamke kutongozwa.

Bi mkubwa,

Habari yako binafsi kwanza....

Huyo mwanamke ambaye hatongozwi huyo tena ni kiboko ua labda hajui matumizi ya mtandao.....

Maana siku hizi unatongozwa na mtu hata hamjuani matongozo meeengi mpaka uanshangaa huyu mtu ananijuaje mimi kama ni jini je???

JF unatongozwa, FB unatongozwa, Twita unatongozwa nk basi ni vurugu tupu
 
Sidhani kama kutongozwa ni fahari kwa mwanamke mwenye heshima zake na anayejiamini. Nifahamuvyo mimi kama mwanaume, ili nifikirie kukutongoza maana yake nimekutamani na nimeona uwezekano wa kukupata upo. Kwa maana nyingine umejivika sura ya urahisi kiasi watu wanakuona easy prey na kukuaproach.

Billionare utakua hujanisoma.... Sijasema kua kutongozwa ni ufahari... Nimesema (tena within posts sio the original 1st post) kua ni sunnah. Mwanamke mwenye heshima zake na anayejiamini pia nae anahitaji kutongozwa pia.... Na sio kwa kujivika sura ya Uraisi. Hili swala lipo katika jamii.... Naomba uichukulie post kama post for I do not mean kua nahitaji kutongozwa.... No!

Nataka nikuhakikishieni wadada kuwa ni dharau tu ndio humfanya mwanaume akamtongoza mke wa mtu. Lkn cha kushangaza mwanamke mwenye kutongozwa hujiona amebahatika sana bila kujali tafsiri ya kinachoendelea. Mwanamke mwenye kujiheshimu na muaminifu kamwe hajijengei mazingira ya kutongozwa. Kwa kifupi hajiviki sura ya ugawaji na hivyo hata wanaume huliona hilo na kwa hiyo hawajisumbui naye.


Mwanaume kumtongoza mke wa mtu sababu ni nyingi saana na hilo ambalo umesema ni moja wapo. But I do know for a FACT kua mwanaume anaweza penda mke wa mtu na asimtongoze tokana na heshima alo nayo juu yake. For mtu kua mke wa mtu haimaanishi kua wanaume wengine hawawezi muona na ku appreciate her beauty. Hata hivo kuna mwingine akimpenda mke wa mtu anaweza akamtongoza na akamaanisha na sio sababu ya dharau, thou in one in 50. Na pia mke wa mtu hutongozwa tokana na yeye the way alivo ji potray.... Take note: wanaume wengi ambao hutongoza mke wa mtu hufanya hivo kwa kujaribu na si kumaanisha hasa, ila ikitokea kakubali then ratiba itafuata kama kawaida.....


Na labda nikudokeze jambo kuhusu mambo ambayo yanawaweka bize. Kwa mfn; wanaume wengi hukatia shingo na kushangilia anapopita mwanamke mwenye makalio makubwa at the same time ni wanaume wachache sana huoa wanawake wa namna hiyo. Hapa utaona kuwa vitu vingi hushabikiwa nje lkn ndani ya mtu havina thamani kwa hiyo sidhani kama wanaokutongoza kila kona ya mji huwa wana nia na wewe zaidi ya ku-hunt easy craps for funny. Are you funny item?

Mwanaume mara nyingi huoa the opposite ya mwanamke ambae anapenda for the simple reason akiamini kua na wenzao ndio hicho huvutiwa (sometimes forgetting kua beauty is in the eyes of the beholder); Believe me you I know kua majority ya wanaume anataka mke ndio awe mzuri lakini sio kuvuka mpaka for anajua kuna waharibifu ambao wame dedicae maisha yao kuchanganya wake za watu hasa hapa mjini.... Ndio maana wadada ambao wamefika age ya kuolewa na wapo so outgoing kupata mume wa kumuoa ni kazi.... As much as atapata wengi wa kutaka mdate.. Sio wa kumuoa.. at the end of the day a man needs an Ordnary woman... but an extra ordinary wife and Mom.

Kwamba am I a funny Item.... Nimeshindwa jibu for i don't exactly know what you meant.... Please elezea vema.
 
Mie wala hawa hawanisumbuagi coz najuaga wanahangaika tu,hasa hasa kwa rejao wataishia kumwangalia kwa macho mwenyewe keshasema anawaogopa!!!

Isitoshe password za kule mahala rejao alishanimilikisha kitambo lol!

hahahaha.... Mapenzi yako na Rejao kiboko.... Itabidi nihakikishe your big shem yupo karibu na Rejao...lol... Watapeana mawazo mazuri kuhusu wake zao....:lock1:

Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?

Oh' PA How glad I am to have seen you leo.... I missed you.

Na hii post.... True to the core.... sina la kuongeza.... Dah!
 
Habari zako mamii?

Daaah hata sina la kusema, ila ukweli kuna matongozo mengine mpaka mwenyewe unasema hiki nini! Kunalijamaa limoja lilinitongoza kwa sms akidai alinishindwa kuniface yaani niliona aliniudhi sana na alinifanya nijiulize mara 10 10 kwa nini mimi? Niliona kama amenidharau sana.

Lakini mwisho wa siku............"Never get Angry. Never make a Threat. Reason with people"
 
Umesema hapo inabidi mtu utongozwe kwa kiasi isiwe too much!
Sasa swali langu ni hivi,mm km mwanamke huwa siwezi kujipangia nnitongozwe na wangapi may be kwa siku,
Hawa jamaa wanajiukuta tu wamenitongoza kila mtu kwa wakati wake na bila mwingine kujua km kuna aliyenitongoza kabla yake na sitakiwi kutongozwa tena!

Sasa mm km mwanamke nifanyeje ili nitongozwe kwa kiasi? na kiasi ndio km vp?


Kid sis mimi naamini saana the way wajipotray ndio hasa the way wachukuliwa.... Take note kama wewe watongozwa kila siku ya Mungu then kuna tatizo ambalo laweza kua ni wewe mwenyewe (maybe uvaaji), mazingira uliopo na mazoea yako dhidi ya walo kuzunguka. Naamini kua mwanamke ukijiheshimu na waonekana wajiheshim wale walo kuzunguka ikitokea kuna anae taka kukutongoza lazima ajipange kwanza.... na kama wanaokutongoza wajipanga kwanza haiwezekani kua utatongozwa ile mara kwa mara.... For watakuepo wale watakutamani but wataridhia kula kwa macho....

Umenipata dear?
 
Umri sio kigezo mbona mimi natongoza mabibi kabisa wenye mvi

Wengi wanaume hu prefer younger.... as in 38 kusuka.... sasa walo more than that age ni wengi... Inakuaje kwamba wanavutiwa na Mende tu? lol... Si bado tatizo ni lile lile?
 
Nipe contacts zake fastaaaa
OTIS

nitupie link ya jina lake la FB kwenye pm yangu

First Lady naona kaleta mambo.... lol

Yaani ma dia Canta umeniziba masikio na mdomo kabisa....sisikii wala siwezi kusema chochote kabisa!
nafikiri AshaDii anafahamu kale katabia changu, na alikuwa ananipigia nacho kelele sana! But toka nimetua kwako, nimekuwa mpolee, zezeta, domo zege! Hata kelele za Kongonsho na Smile siziskii kabisa!

I am impressed shemeji yangu.... Inabidi siku moja moja uwe unashinda na Sweetie ili aendelee kua na mawazo haya.... nahisi kachakachuka kampani anayo shinda nayo..... lol... Kikubwa tu asiku convince kuingia chama chochote kile....
 
Sio easy prey, labda kutongozwa hakujafafanuliwa vyema, mi nadhani kutongozwa haswa ni pale mwanaume anapoenda out of his way kuonesha jinsi anavyoku admire and that my friend is something else, just knowing haiba yako inawavutia watu inakufanya mtu mzuri zaidi unlike kama watu wasipokufata inakufanya mtu mbaya, aidha una dharau, roho mbaya hucheki na watu na mengine yaliyoainishwa na wengine. Ukiwa approachable mtu anaweza kuwa na shida ingine kama kuelekezwa mahala lakini akawa drawn into u kutokana na mvuto wako na akajaribu kukueleza kwa hali ya heshima lakini wengine hawapati hata nafasi ya kusemeshwa hata kwa mazungumzo ya kawaida ambayo yanaweza ku lead into mahusiano kwa nia njema.


Lemonade naona umenipata vema.... This is Exactly what I meant....
 
Thank you Ashadii for this useful post
Nitarudi baadae kuchangia

Make sure you come back.... I need your input hapa.... Thanks for the acknowledgement.

Shem bana....

Yaani ukishajibiwa kama hapo bold, kwa sisi wazoefu tayari tushaachana naye..... khaa!


hahaha.... Si nilikwambia kua huyo Fatma alikua anataka? Alafu shem si kuna ile ambayo wanaume huangalia kama atapata hapo anapo papenda ama lah! Akiona kua chances are slim wala hata haangaiki kabisa! lol
 
Back
Top Bottom