Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Jamani jamani jamani.......... Hii lugha ya Dave Cameroon mtuonee huruma wajukuu wa Mwalimu Nyerere tuliosoma shule za sekandare za kata tukaishia fom tuu B.....Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?
Khaa!!:crazy: