Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ewaaaa!hahaha.... Si nilikwambia kua huyo Fatma alikua anataka? Alafu shem si kuna ile ambayo wanaume huangalia kama atapata hapo anapo papenda ama lah! Akiona kua chances are slim wala hata haangaiki kabisa! lol
Hakuna kitu mwanaume anachoogopa kama kupigwa kibuti. Ndo maana huwa haingizi neno kama mtongozwaji mwenyewe anaonekana katia pamba sikioni....
Mwanaume anayeingia kichwa kichwa afu akalimwa kibuti basi huyo SI MWANAUME BANA!