cousin nimefurahia sana topic yako imenigusa sana na imenisisimua kiaina yake
nimeamua kutapika hapa cousini
huwaga nasemaga hawa wanaume wasio caring wakoje?
hawawezi kuchukuliana na wanawake jinsi walivyo hawawasomi wake zao kiundaini
na mara nyingi wengine huwaga wanakurupuka katika mahusiano yani ndoa
au wanalazimishwa na wazazi wao kuoa yule mzazi anayemtaka wakati hamtaki
anabaki kusema kuwa ni bora kumtii na kumsikiliza mzazi, eti ndo heshima
kwa mzazi akisema kula ........ utakula cause mzazi kasema huoni kuwa
unabemendwa kiaina na hiyo ndoa itakuwa yako na si ya mzazi kwani
wao wazazi walitafutiwa wake au waume wa kuishi nao, mila na tamadun
zingine zinatuingiza penye madhara wakati humo ndani mtaishi ninyi wenyewe
na ndo maana wanaume wengine hawawajali wake zao kwani walilazimishwa
wengine ilikuwa ni fashion kuoa hakuwa ana mapenzi ya dhati na huyo mdada
cousin charminglady acha niishie hapo maana nitamaliza mtama bure.....
Aaaah wanawake bwana akili zao wanazijua wenyewe. Ukianza kuhangaika kujifunza kuhusu hawa nguvu ni sawa na kusomea bachelor degreenyingine tu. Mimi ni james na pia ni kelvin itategemea tu na mm maruhani yangu yameamkia wapi.
We are martians and they are from venus..Period. Hamna kuhangaika
miss chaggakina james ndiyo wengi sana
Abeeeeee
Such a useful thread.
Well,
ukisoma vizuri majibu wanayotoa hao wanaume hapo juu utagundua kitu flani kwamba kuna mmoja anajua caring, na mwingine anajua scaring!
simlaumu sana James kwa kutoa majibu horror wala kumpa sifa sana Kelvin kwa kutoa majibu marvelous,
The issue here is, how are you related to the person you are giving feedback to the question? je ulimpenda kweli ndiyo maana ukawa nae? au ulilazimishwa na circumstance ndiyo ukamuweka ndani???
Women need relief from their men, that's true indeed!.... But too much is harmful, remember that!
Sasa huyo James ndiye anaweza kabisa kuwa chanzo cha mke kuchepuka au hata ndoa kuvunjika maana ndoa yao imekosa mapenzi kabisa. Halafu baada ya majibu kama hayo ya kukinaisha atataka mkewe akampe papuchi!!!! Akinyimwa kosa! nyumbani hakuliki wala hakukaliki!!!!
Ilishawahi kuletwa humu....
Aksante tutakuwa tunawasikiliza ila na nyie msitupande kichwani sasa.
1Petro 3:7
unaonekana umechoka na kazi mke wangu njoo nikukumbatie!!!!
Nipe tu hela mume wangu
unajua ATM CARD yangu imemezwa ila usijari wiki hii nipo busy na kazi nikipata muda nitaenda kuitoa ukae nayo kabisa wewe!!!
kwa sasa ili uondoe mawazo njoo tu nikukumbatie baby!!!