Yeah ni kweli,,dont use too much logic ukiongea na mwanamke
Ngoja niiiprint kabisaaa ili niwe najikumbusha.
Ni kweli kabisaa, basi mkeo inabidi awe na moyo wa mjeda
Usisahau kunipa na mimi nakala yake..
umeona enhhapoo hata mpenzii wangu namwelewaga sanah kwa hili anavopenda kubembelezwaa lohh mpaka nafurahh sanah saf mama umeuaa mdada